johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Amini tuSijui kwa nini tu huyu jamaa huwa siamini ayasemayo....
Kwa gharama ipi , ya kuuza hiyo Bandari kwa wawekezaji.KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema kitu ambacho wabunge wengi hawakijui ni kwamba Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa makubwa kutoka huko duniani ambazo hatujawahi kuziona hapa Tanzania
Kisha hizi meli tunazoziona zikileta mizigo Dar port ndio zitakuwa zinabeba miizigo kutoka Bagamoyo na kusambaza sehemu mbalimbali duniani amesisitiza Zitto
Tusiiache fursa hii jamani na siyo kweli kwamba kila mradi ulioanzishwa awamu ya Kikwete ulikuwa mbaya kwani hata reli ya SGR mradi uliasisiwa vizuri na serikali ya JK lakini serikali ya awamu ya tano imekuja kuutekeleza kwa namna tofauti, amemalizia Zitto.
Chanzo: Clouds 360
Sijui kwa nini tu huyu jamaa huwa siamini ayasemayo....
Kama Zitto Mchumi Mbobezi amesema hivyo mimi ni nani ngumbaru wa MATEJOO nikatae? JIWE alidanganywa.
Africa is always the victim, nothing is ever our fault.
Yaani kila muwekezaji ni mbaya na anataka kutuibia.
We sukuma akili ndogo huwezi kumuelewa zittoSijui kwa nini tu huyu jamaa huwa siamini ayasemayo....
Kama Zitto Mchumi Mbobezi amesema hivyo mimi ni nani ngumbaru wa MATEJOO nikatae? JIWE alidanganywa.