SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,038
- 8,929
Kwani we ni nani hata usipoamini? Ukweli utabakia kama ulivyo!Sijui kwa nini tu huyu jamaa huwa siamini ayasemayo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani we ni nani hata usipoamini? Ukweli utabakia kama ulivyo!Sijui kwa nini tu huyu jamaa huwa siamini ayasemayo....
So...?Kwani we ni nani hata usipoamini? Ukweli utabakia kama ulivyo!
Tatizo lenu hamtaki kusikiliza!Kwa gharama ipi , ya kuuza hiyo Bandari kwa wawekezaji.
Umeona mzee baba.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba hii Bagamoyo's project ipewe green light kwasababu tu ya kuyaona mameli makubwa ambayo hatujawahi kuyaona?..basi sawa!!!
Hata mimi sijawahi kumuaminiSijui kwa nini tu huyu jamaa huwa siamini ayasemayo....
Kama ulikuwa unajua marehemu ni msema kweli...polee!Na kuhusu tulichoambiwa na Hayati kuwa ni mradi wenye masharti ya hovyo na kuutupa kapuni Bw. Zitto kasemaje
Anaenda kugombea ubunge kule kwa Dr Mpango!Mkuu achana na Zitto kwa mda.
Trend yake ya Sasa amejigeuza zwazwa.
Mwache kwanza hadi kichwa kikitulia Ndio uanze kumpost. Hasa akiendelea kukosa teuzi maana hapo alipo anatakani ateuliwe.
Huna taarifa za kutosha kuhusu wachina.China sio mwekezaji tu ni mnyonyaji kama wanyonyaji rasilimali wengine.
Mwekezaji gani hajengi viwanda badala yake anachukua tu tenda za kujenga kila kitu hapa barani Africa na kuchota rasilimali zetu??
Tembelea wovuti ya Clouds manka!Hii habari imekaa design kama gazeti la udaku. Tupatie habari kwa ukamili sio kuibia na kutoa mambo out of context.
Lambda afanye hivyo.Anaenda kugombea ubunge kule kwa Dr Mpango!
Unaelewa mtu akikuuliza maana ya kwa gharama ipi?Tatizo lenu hamtaki kusikiliza!
Mngekuwa mnasikiliza hoja na kizipima badala ya kupinga tu kwa kuwa mtoa hoja humpendi...
Mkuu jamaa ni mnafiki na mchumia tumbo mkubwa. Details za mkataba huo na Wachina zikiwekwa hadharani Watanzania tutaukataa.