Zitto Kabwe: Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa ambayo hamjawahi kuyaona, tusipoteze hii fursa jamani

Kama Hatuna Uwezo Wa Kuijenga Wenyewe Ni Bora Tukaiacha Mpaka Tutakapokuwa Na Uwezo Wa Kufanya Hivyo Wenyewe
Na biashara itakuwa inatusubiri sisi mpaka tuje kupata uwezo au? utasema bahari tunayo sisi tu haya kama haikuja siku tunafuata mzigo Zanzibar.
 
Achana. na Kicherembalga hakuna anachokijua
 
Na biashara itakuwa inatusubiri sisi mpaka tuje kupata uwezo au? utasema bahari tunayo sisi tu haya kama haikuja siku tunafuata mzigo Zanzibar.
Lakini si tuliambiwa meli za mizigo zimepungua Sana kuja kwenye bandari zetu!?..Ayo ma giant yataletwa na nini kinachozuia kuja SASA hivi kama sio kuingia bila kulipa Kodi!? Na je Dar es salaam na Tanga zimelemewa na mizigo?
 
Hivi hii nchi Tuko serious kweli..unawezaje kukabidhi mpaka wa nchi Kwa foreigners Kwa miaka 100..hii inatofauti gani na ule ukoroni wa awali?!
 
Anko nae ntu wa dili huyu sio wakumuamini
 
Huyu fala si ndio analalamika kila siku mambo yamekua magumu unyanyasaji mikataba ya hovyo sasa na yeye kaingia mkenge inamaana anaukubali mkataba ambao hata haujulikani ukweli ama uongo wake , wanasiasa uchwara hawa wana shida sana yaani ni kama kina mzee mdee tu
 
Tujenge kwa fedha za ndani hata ukikamilika miaka 70 ijayo poa kuliko kupumuliwa na mchinku.
 

Hivi Zitto anahitaji elimu ya kiwango cha PhD ili kutambua kwamba mkataba wa kibiashara sio public record? Ni nchi gani huanika mikataba ya kibiashara?

Tanzania sio jamhuri ya twitter. Tuna mfumo wa political representation. Bunge ndiyo chombo ambacho tumekubaliana kikatiba kiwe macho, masikio na sauti yetu. Kamati ya kudumu ya Bunge inayohusika ikiomba kuona mkataba fulani itakuwa sawa. Haiwezekani mtu yeyote tu akiamua kudai document fulani anapewa. It doesn’t make any sense. After all, how is the decision going to be made? Je, tunataka kuendesha shughuli za Serikali kwa referendum?

Zitto anachotaka kuleta ni chaos; nothing else! Shida zake azipeleke kwa mbunge wake au wabunge wengine. Huo ndiyo utaratibu wa kikatiba tulionao.
 
Mkuu unamaanisha hayo ndo mashart yote ya mkataba?...

vip kuhusu ile kutokuingiliwa na serikali ili kujua kiasi cha pesa waliokusanya?...

na kuhusu kuongezeka KWA mda wa kuendesha bandari kama hawatarudisha pesa yao na kupata faida tajwa ILIHALI serikali haruhusiwi kukagua mapato yao?

Naomba majibu...
 
Kiukweli mtoa hoja sijawai kukutana nae namwona tu kwenye mitandao...pia huwa na heshimu na kuwapenda watu wote hata kama ni adui yangu..coz sina impact yeyote kwenye maisha yake

Afu nami nimeleta hoja hapo juu haina maana namchukia....
 
Kwamba hii Bagamoyo's project ipewe green light kwasababu tu ya kuyaona mameli makubwa ambayo hatujawahi kuyaona?..basi sawa!!!
Kweli sijaona upumbavu kama huu. Turuhusu mradi fisadi tuingie utumwani kwa sababu tunataka kuona mameli makubwa!. Foolish!.
 
Hawa wametumwa! Hii campaign itakuwa chini ya uratibu wa timu ile ile inayomchafua JPM.
Tena inaonekana hawa watu wana common elements na wamekubaliana kufanya kweli ili waimarishe mizizi!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…