Kuna ulazima wa kupitia Mikataba vizuri, na Tender ishindandishwe kulingana na Public Procurement actKuna mvutano Kati ya makundi ya Kanda ya ziwa na pwani.
Lakini Bandari ya Bagamoyo ni Macro Economic Project..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ulazima wa kupitia Mikataba vizuri, na Tender ishindandishwe kulingana na Public Procurement actKuna mvutano Kati ya makundi ya Kanda ya ziwa na pwani.
Lakini Bandari ya Bagamoyo ni Macro Economic Project..
Kuna watu wanasubiria wauze maeneo yaoHahahaaaa...... !
Mchina akitimba Bagamoyo wazaramo wote watasukumiziwa Msata na Pangani.
Khaa . . management fees ? Pumbavu kabisa
kuna mishahara yao utakuta ni 20,000.00 USD kwa mwezi and above kwa DG, DF, Mtu wa Operations, kuna ndege hapo ya kupiga misele, kuna kumwita fundi wa cranes au computerhapo kuna mishahara yao utakuta ni 20,000.00 USD PM and above hapo kuna DG, kuna DF, kuna Mtu wa Operations, kuna ndege hapo ya kupiga misele, kuna kumwita fundi wa cranes au computer system
Huyu jamaa ni amekaa kidalali dalali!Sijui kwa nini tu huyu jamaa huwa siamini ayasemayo.
Mkataba wa wewe kulipwa million 50 kila mwezi ila baba yako awe anafilwa kila siku utaukubali?We sukuma akili ndogo huwezi kumuelewa zitto
Ajira nyingi za watoto wa wenye madaraka sioTatizo lenu hamtaki kusikiliza!
Mngekuwa mnasikiliza hoja na kizipima badala ya kupinga tu kwa kuwa mtoa hoja humpendi.
Mradi wa Bandari ya Bagamoyo,ulikuwa ujengwe kwa makubaliano ya uwekezaji wa pande tatu,Tanzania,Oman na China. Wawekezaji wangejenga miundo mbinu ya bandari na industrial parks kwa ajili ya viwanda zaidi ya 800 na kuchukua port charges kwa kipindi cha miaka 50. Serikali haikuyakiwa kutoa hata sumuni! Katika kipindi hicho serikali itachukua kodi zingine mbalimbali kama ushauri wa forodha kama kawaida. Baada ya miaka hiyo, bandari inakuwa mali ya serikali 100%
Utaratibu huu ndio unaotumika hata sasa kwenye bandari ya Dar. Wapo TICTS wanaendesha bandari hiyo.
Mradi wa Bandari ya Bagamoyo unamanufaa makubwa katika uchumi wa Tanzania. Pamoja na kuifanya Tanzania kuwa lango juu la bidhaa kwa zaidi ya nchi 8 za Afrika,unaifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda vya kisasa ambavyo vitahudumia soko la ndani na nchi nyingine za Afrika.
Mradi huu utazalisha ajira nyingi mno katika sekta mbalimbali kama mahoteli, usafirishaji nk.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waafrika bana. Mnapenda sana symbolism. Ati utakua ni mradi mkubwa afrika nzima. Ukiwa mkubwa afrika nzima bila kukunufaisha ni sawa lakini ukiwa mdogo afrika nzima na ukakunufaisha hutaki. Mpaka uwe mkubwa haijalishi utakunufaisha au laTatizo lenu hamtaki kusikiliza!
Mngekuwa mnasikiliza hoja na kizipima badala ya kupinga tu kwa kuwa mtoa hoja humpendi.
Mradi wa Bandari ya Bagamoyo,ulikuwa ujengwe kwa makubaliano ya uwekezaji wa pande tatu,Tanzania,Oman na China. Wawekezaji wangejenga miundo mbinu ya bandari na industrial parks kwa ajili ya viwanda zaidi ya 800 na kuchukua port charges kwa kipindi cha miaka 50. Serikali haikuyakiwa kutoa hata sumuni! Katika kipindi hicho serikali itachukua kodi zingine mbalimbali kama ushauri wa forodha kama kawaida. Baada ya miaka hiyo, bandari inakuwa mali ya serikali 100%
Utaratibu huu ndio unaotumika hata sasa kwenye bandari ya Dar. Wapo TICTS wanaendesha bandari hiyo.
Mradi wa Bandari ya Bagamoyo unamanufaa makubwa katika uchumi wa Tanzania. Pamoja na kuifanya Tanzania kuwa lango juu la bidhaa kwa zaidi ya nchi 8 za Afrika,unaifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda vya kisasa ambavyo vitahudumia soko la ndani na nchi nyingine za Afrika.
Mradi huu utazalisha ajira nyingi mno katika sekta mbalimbali kama mahoteli, usafirishaji nk.
Mchumi wa ACT. Acheni utani nyie, Zitto ni mwanasiasa mbobezi siyo mchumiKama Zitto Mchumi Mbobezi amesema hivyo mimi ni nani ngumbaru wa MATEJOO nikatae? JIWE alidanganywa.
Ni ufisadi huo huo katika sura mpya nchiniWazungu wanasema "The Devil is in the details"
Habari ndiyo hiyo....
Huu mkataba upo na Sri Lanka alishaingizwa chaka......
View attachment 1753184
![]()
How China Got Sri Lanka to Cough Up a Port (Published 2018)
A Times investigation into Sri Lanka’s handover of its Hambantota Port starkly illustrates how China turned an ally’s struggles to its strategic advantage.www.nytimes.com
Bila data kuhusu economic feasibility study, environmental impact study na project financial resources hizi ni ndoto tu.KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema kitu ambacho wabunge wengi hawakijui ni kwamba Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa makubwa kutoka huko duniani ambazo hatujawahi kuziona hapa Tanzania
Kisha hizi meli tunazoziona zikileta mizigo Dar port ndio zitakuwa zinabeba miizigo kutoka Bagamoyo na kusambaza sehemu mbalimbali duniani amesisitiza Zitto
Tusiiache fursa hii jamani na siyo kweli kwamba kila mradi ulioanzishwa awamu ya Kikwete ulikuwa mbaya kwani hata reli ya SGR mradi uliasisiwa vizuri na serikali ya JK lakini serikali ya awamu ya tano imekuja kuutekeleza kwa namna tofauti, amemalizia Zitto.
Chanzo: Clouds 360
Kwani mkataba upoje jamani mbona mnatuchanganya!!CAG mstafu aliuomba akanyimwa!!mimi siku zote sikuwahi na sitawahi kumuamini meko.Kwa gharama ipi , ya kuuza hiyo Bandari kwa wawekezaji.
Bora hata wakati wa jk wananchi waliweza kuwa na uwezo wa kushika mabango hayo!!ingekuwa enzi za meko wote hao wangepotea!!na ni mangapi yamefanyika kwa upendeleo wa wazi kabisa nyumbani kwa meko?kuna aliyekuwa na uwezo wa kuhoji?!!Ni ufisadi huo huo katika sura mpya nchiniView attachment 1753194
Zitto yupo very smart katika kupita na kiki, I will never trust him. Sikatai ni msomi mzuri japo siasa inaharibu talent yake.KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema kitu ambacho wabunge wengi hawakijui ni kwamba Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa makubwa kutoka huko duniani ambazo hatujawahi kuziona hapa Tanzania
Kisha hizi meli tunazoziona zikileta mizigo Dar port ndio zitakuwa zinabeba miizigo kutoka Bagamoyo na kusambaza sehemu mbalimbali duniani amesisitiza Zitto
Tusiiache fursa hii jamani na siyo kweli kwamba kila mradi ulioanzishwa awamu ya Kikwete ulikuwa mbaya kwani hata reli ya SGR mradi uliasisiwa vizuri na serikali ya JK lakini serikali ya awamu ya tano imekuja kuutekeleza kwa namna tofauti, amemalizia Zitto.
Chanzo: Clouds 360
Duh....!Ni ufisadi huo huo katika sura mpya nchiniView attachment 1753194
Ingawa umeandika analyitically lakini unaupigia debe mradi wa bandari ya Bagamoyo utekelezwe kinyume na maamuzi ya JPM kuwa usitekelezwe. Nami naona nikujibu kiuchambuzi kwa nini usijengwe. Katika uchambuzi huu nitatumia pia hoja za wengine wenye mawazo kama yako.KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema kitu ambacho wabunge wengi hawakijui ni kwamba Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa makubwa kutoka huko duniani ambazo hatujawahi kuziona hapa Tanzania
Kisha hizi meli tunazoziona zikileta mizigo Dar port ndio zitakuwa zinabeba miizigo kutoka Bagamoyo na kusambaza sehemu mbalimbali duniani amesisitiza Zitto
Tusiiache fursa hii jamani na siyo kweli kwamba kila mradi ulioanzishwa awamu ya Kikwete ulikuwa mbaya kwani hata reli ya SGR mradi uliasisiwa vizuri na serikali ya JK lakini serikali ya awamu ya tano imekuja kuutekeleza kwa namna tofauti, amemalizia Zitto.
Chanzo: Clouds 360