Zitto Kabwe: Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa ambayo hamjawahi kuyaona, tusipoteze hii fursa jamani

Kuna Bandari MTWARA ina kina kirefu ambacho kipo kiasili,hatuwezi kutumia nguvu nyingi kuendeleza!
Naona bandari zingine muhimu zinapotezewa bila kutengenezewa mkakati
Ile siyo bandari kama ya mtwara ilikuwa iwe bandari tofauti na nyingine zote na inhekuwa kubwa ya 3 duniani. Sema shida ni kwamba huo mkataba zaidi ya ikulu hata wabunge hawajui kilichomo hawakuwahi kuuona.
 
Mkataba uwe wazi na unajari sovereignty ya Taifa letu
Ndicho anachotaa uwekwe wazi tuone kaa ulikuwa na manufaa ama haukuwa na manufaa kwa taifa watu wauchambue waujadili hilo hata yeye ndilo anataka
 
Ile siyo bandari kama ya mtwara ilikuwa iwe bandari tofauti na nyingine zote na inhekuwa kubwa ya 3 duniani. Sema shida ni kwamba huo mkataba zaidi ya ikulu hata wabunge hawajui kilichomo hawakuwahi kuuona.
Yaani Bandari ya Dar ilikua inaingia Mara 25 kwa ukubwa kwenye hiyo Bandari ya Bagamoyo
 
Why now?mbona inapigiwa upatu sana?ina maana hakuna miradi mingine muhimu zaidi ya huo?
Watu washakula % na uwakala lazima waupiganie.
Usiamini mwanasiasa-by zito mwenyewe
 
Yaani Bandari ya Dar ilikua inaingia Mara 25 kwa ukubwa kwenye hiyo Bandari ya Bagamoyo
Masharti aliyosema JPM ambayo wachina walitupa mbona hawayasemi , kukubali ama kukanusha. Kama ni yale masharti JPM ni shujaa tu. Mameli makubwa bila tuna yana faida gani. Watueleze ni wapi machina alijenga mradi ukalikomboa taifa
. Mbona nchi nyingi zinasurrenddr bandari kurudisha madeni ya machina . Mikataba ya sultnai Mangungo MUNGUapishe mbali.
 
Kwakuwa aliyekuwepo hakutaka mawazo tofauti akikusikia kitakachokupata wanakijua kilichowapata. Hivi shida iko wapi kuweka mkataba wazi maana hata yeye hajasema utekelezwe bila huo mkataba kuwekwa wazi.
Ni now kwasababu ndiyi watu wanajisikia huru walau kuzungumza mawazo yao. Mbona wakati wa JK watu walikuwa wanazungumza tu akitaka atayachukua akigoma basi sasa hiyo chance waliikosa sasa wameipata.
 
😂😂😂😂wakati wa jk?muswada unaletwa asubuhi bungeni kwa mara ya kwanza,jioni ushapitishwa.
 
Aliyasema yeye ambaye alikwambia ATCL ilikuwa inatengeneza faida hadi kutoa gawio.
Zitto yeye hajayasema kwakuwa kakiri mkataba ikulu haijawahi kuuweka wazi hata wabunge hawajawahi kuuona hivyo kaomba uwekwe wazi ili kila mtu aone na wataalam wauchambue.
Hayo uliyoambiwa umeambiwa tu mkataba wenyewe haujawahi kuwa wazi
 
Watu wanakuwa na jazba sana yani hat sielewi.
Kwani kama ukienda karume kununua viatu jamaa sianza haya na kama 70,000. Ukiwa jinga basi utatoa hiyo hiyo . Lakini kama mjanja basi unaongea nae unaishia kununua kwa 15,000.

Katika hiyo picha hapo juu mchina ndo yule muuza mitumba wa karume na sisi ndo wanunua viatu.

Tukae, tuzungumze, kutafute dili la ushindi kuingia nao mkataba.

Kiukweli hapo bandarini hakuna nafasi tena. Hivi gati la 25 kwa mfano tutajenga wapi? ?

Kama tunataka uchumi wetu upae basi hii bandari ijengwe. Ila kwa matakwa yetu. Sio ya mchina wala mwarabu.
 
😂😂😂😂wakati wa jk?muswada unaletwa asubuhi bungeni kwa mara ya kwanza,jioni ushapitishwa.
Kwani kulikuwa na tofauti gani na wakati wa JPM hata waliokuwa wanataka budget ifanyiwe marekebisho basi wakaitwa wasaliti. By the way umeuliza why now, nimekujibu kwakuwa now ndipo wana uhuru wa kuzungumza.
Kwani shida iko wapi kwa huo mkataba kuwekwa wazi?
 
Yuda katika ubora wake....ni mtu mpumbavu tu ndie atakayemtilia maanani.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Kabla sijafa nataka niione bandari yangu ya bagamoyo.
Hatuwezi kutegemea bandari ya dar miaka yote.
 
Huu mradi wa bagamoyo inaonekana kuna watu walishakula hela za wachina, ndani ya mwezi baada Magu kutangulia bwana speaker kalirudisha upyaaa...tuanze naye
 

It makes sense ,hauwezi kula bila kuliwa ,hatutoi hata senti tano ,tunajengewa miundombinu ya kutosha ,viwanda zaidi ya 800 (Ajira kwa wanyonge) - Mnyororo wa thamani ,lango la nchi 8 za africa(Uchumi kukua) ,Kodi za forodha....Faida kubwa sana hii...Serikali ifanye tathmini kwenye miaka wapunguze iwe hata 30 na wao wabadilishe terms.
 
Naona wanasiasa wameanza kutafuta umaarufu juu ya hiyo bandari...ili mradi tu wawe kinyume na mitazamo ya mwendazake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…