Zitto kabwe hana usafi wowote kujinasibu kuwa anafaa Urais. Alishawahi kupata kashfa kubwa ya kuhongwa pesa

Zitto kabwe hana usafi wowote kujinasibu kuwa anafaa Urais. Alishawahi kupata kashfa kubwa ya kuhongwa pesa

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Nimeshangaa sana kuona kwenye mitandao ya kijamii Zitto akijinasibu kuwa eti ana uwezo, elimu na kila hali ya kuwa rais wa JMT.

Watanzania wengi wanajua kabisa hafai hata kiduchu maana ni oppoturnist, mpenda fedha na mnafiki.

Nani atampa kura yake Zitto Kabwe?

Huko nyuma ziliwahi kuwekwa kashfa zake hadharani akipokea mlungura kupitia benki ili aidhohofishe Chadema. Kila kitu kiliwekwa wazi mpaka akaunti namba na pesa zilipotoka.

Huyu sio mtu anayefaa kuwa kiongozi hata kidogo.

Nashangaa sana kutaka kugombea urais
👇
Screenshot_20220507-163123.jpg
 
Tanzania hatutafuti rais malaika!.
P
 
Nimeshangaa sana kuona kwenye mitandao ya kijamii Zitto akijinasibu kuwa eti ana uwezo, elimu na kila hali ya kuwa rais wa JMT.

Watanzania wengi wanajua kabisa hafai hata kiduchu maana ni oppoturnist, mpenda fedha na mnafiki.

Nani atampa kura yake Zitto Kabwe?

Huko nyuma ziliwahi kuwekwa kashfa zake hadharani akipokea mlungura kupitia benki ili aidhohofishe Chadema. Kila kitu kiliwekwa wazi mpaka akaunti namba na pesa zilipotoka.

Huyu sio mtu anayefaa kuwa kiongozi hata kidogo.

Nashangaa sana kutaka kugombea urais
👇View attachment 2215330

Hakuna wa kumpa urais Zito, sio kwakuwa hana elimu wala uwezo wa kuwa rais, bali ushawishi wa chama chake ni mdogo. Kama ingekuwa uadilifu ni sifa ya kuwa rais Tanzania, basi JK na Magufuli wasingekuwa Marais wa nchi hii.
 
Hakuna wa kumpa urais Zito, sio kwakuwa hana elimu wala uwezo wa kuwa rais, bali ushawishi wa chama chake ni mdogo. Kama ingekuwa uadilifu ni sifa ya kuwa rais Tanzania, basi JK na Magufuli wasingekuwa Marais wa nchi hii.
Kuna tofauti kubwa sana katika hao watu wawili mmoja alitafuta kazi mwingine alipewa kazi kutokana na sifa alizokuwa nazo.
 
Mbona makengeza hajawa rais na uadilifu wake [emoji12][emoji12][emoji12]

Usiseme mmeibiwa kura. [emoji12]

Kuwa rais ni bahati zaidi kuliko uwezo. Nchi ina raia 60m+, ni tumewahi kupata marais 6 tu, hapo sio uwezo bali ni zaidi ya uwezo. Huenda uwezo wako wa kutambua ukweli huu ni mdogo.
 
Kwa upinzani uliopo na wapinzani waliopo, ZZK is the one and only, best candidate the opposition has.
P
Mbowe will make a good candidate kuliko Zitto.
Mbowe ana msimamo bt Zitto hana, he only goes where money and fame goes.
Kifupi hana sifa za Uraisi.
Ila kwakua hii ni inchi huru ya ki demokrasia wacha agombee ili amalizie umaarufu wake.
Bt hawezi kupata ht robo ya kura, labda huko zanzbar wanapo piga kura za Maruhani.
 
Hakuna wa kumpa urais Zito, sio kwakuwa hana elimu wala uwezo wa kuwa rais, bali ushawishi wa chama chake ni mdogo. Kama ingekuwa uadilifu ni sifa ya kuwa rais Tanzania, basi JK na Magufuli wasingekuwa Marais wa nchi hii.
Hujui siasa za Bongo. Kama hayati JPM asingekuwa muadiliafu basi 2015 CCM ingepigwa chini.
 
Nimeshangaa sana kuona kwenye mitandao ya kijamii Zitto akijinasibu kuwa eti ana uwezo, elimu na kila hali ya kuwa rais wa JMT.

Watanzania wengi wanajua kabisa hafai hata kiduchu maana ni oppoturnist, mpenda fedha na mnafiki.

Nani atampa kura yake Zitto Kabwe?

Huko nyuma ziliwahi kuwekwa kashfa zake hadharani akipokea mlungura kupitia benki ili aidhohofishe Chadema. Kila kitu kiliwekwa wazi mpaka akaunti namba na pesa zilipotoka.

Huyu sio mtu anayefaa kuwa kiongozi hata kidogo.

Nashangaa sana kutaka kugombea urais
👇View attachment 2215330
Hakuna uchaguzi 2025, KATIBA mpya itatangulia kwanza. Tusihamishwe Hoja ya mafuta kupanda Bei, Tusikubali kutolewa kwenye reli. Zitoooow Mpuuzi APUUZWE.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hebu acheni kuwalaghai watanzania.

Si haki. Yaani huu upuuzi imebidi nicheke tu.
Ukiwalinganisha hao wawili, Mbowe is better off.
 
Nimeshangaa sana kuona kwenye mitandao ya kijamii Zitto akijinasibu kuwa eti ana uwezo, elimu na kila hali ya kuwa rais wa JMT.

Watanzania wengi wanajua kabisa hafai hata kiduchu maana ni oppoturnist, mpenda fedha na mnafiki.

Nani atampa kura yake Zitto Kabwe?

Huko nyuma ziliwahi kuwekwa kashfa zake hadharani akipokea mlungura kupitia benki ili aidhohofishe Chadema. Kila kitu kiliwekwa wazi mpaka akaunti namba na pesa zilipotoka.

Huyu sio mtu anayefaa kuwa kiongozi hata kidogo.

Nashangaa sana kutaka kugombea urais
👇View attachment 2215330
Huyo magufuli aliyekuwa msafi mbona aliishia kuua, kuteka na kupiga risasi wapinzani wake?
Aliishia kununua na kujenga bila kufuata sheria za manunuzi?
Hatuhitaji raisi MALAIKA
 
Huyo magufuli aliyekuwa msafi mbona aliishia kuua, kuteka na kupiga risasi wapinzani wake?
Aliishia kununua na kujenga bila kufuata sheria za manunuzi?
Hatuhitaji raisi MALAIKA
Hii inahusika hapa? Kama aliteka kwa sababu unao ushahidi peleka malalamiko yako kwa mamlaka husika ili hatua zichukuliwe.
 
Hii inahusika hapa?
Hujui inahusikaje?
Tuliambiwa magufuli alikuwa msafi kumbe jizi tu
Lilinunua nyumba za NIC dodoma kwa lako 6 kila moja. Yaani maghorofa yalinunuliwa kwa laki sita.
Likipora korosho za wanamtwara.
Lilinunua mindege bila kufuata sheria ya manunuzi.
MAYANGA COMSTRUCTION NI MALI YA JPM
 
Tanzania hatutafuti rais malaika!.
P
Zitto hafai hata kidogo
 
Back
Top Bottom