Zitto kabwe hana usafi wowote kujinasibu kuwa anafaa Urais. Alishawahi kupata kashfa kubwa ya kuhongwa pesa

Hujui siasa za Bongo. Kama hayati JPM asingekuwa muadiliafu basi 2015 CCM ingepigwa chini.
Kuiondoa CCM kunahitaji mbinu na maarifa vya ziada, mgombea kuwa au kutokuwa muadilifu haviwezi kusababisha ashindwe uchaguzi.
 
Kupitia act wazalendo kwa bara mlitaka agombee nani hakuna mtu zaidi yake.
 
Mbowe huyuhuyu aliyepewa bahasha ya khaki na kelele za Katiba Mpya zikafa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…