Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Kiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.

Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.

Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.

Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.



Zitto nilikuwa namkubali kweli..ila kwa hii interview nimemuona true colors zake…kumbe nitakataka tu…atapikwe tu huyu mtanzania mwenzetu katika uwanja wa uongozi hatufai…
 
Zitto ni mwizi wa kisasa, nakumbuka enzi za akina Slaa Zitto alisumbua sana CHADEMA, mpaka akina Slaa wakawa wanamkaimisha ofisi Myika, Mpaka akina Kikwete wakamsaidia kumfungulia chama ili kuigawanya chadema. Bahati nzuri Magufuli alivyoingia tu madarakani alikuwa anajua mamluki wote, hivyo mamluki wote aliwasagia kunguni na ndio chanzo cha Zitto kuanza chuki na Magufuli. Zitto ni tapeli wa siasa tu, yeye kuuza mechi ili mkono uende kinywani haoni hasara
Wewe unajua mengi,kikwete ndiyo aliyeharibuu zito aliyaka kumtumia kuisambalatisha chadema
Magufuli hakutaka aliona bora Mbatia,Mkapa akawasaga akasema hizo pesa bora wajenge chama Chao ccm kuliko kuwatumia wahuni ambao pia wanaeweza kikugeuka,akasemahao watu wanakula ruzuku wanajenga majumba hizi ni pesa za wananchi,akasema mnawachukia chadema lakini ndiyo wanaofikisha pesa mashinani ndiyo maana wamekuwa tishio.Badala ya kufikiria kujenga chama dhidi ya chadema mnafikiria genge la wahuni kuhujumu pesa ya wananchi wananchi sio wajinga watajua na watazidi kuwakataa.Mbatia deal ikafia pale.
 
Tafuta top ten ya viongozi wa juu hapo chadema kabla haijasambaratika 2020 uone na kwa msingi huo hiyo chadema haifai hata kuongoza mtaa!

Wanaolalamika kwamba Magu ni mkabila ni wachaga tu, ila sisi wa mikoa mingine wala hatuoni hilo.

Na hii yote inatokana na kwamba ajira za vimemo toka kwa mjomba zilikoma kipindi chake ndio wachaga wakaanza kuona jamaa ni mkabila.
Wachaga ni WaTz si wakoloni wako.
Sasa hivi ajira si za kibaguzi !!
 
Wachaga ni WaTz si wakoloni wako.
Sasa hivi ajira si za kibaguzi !!
Sasa ukabila wa Magu ni upi kama unajua wote ni watz?

Yani nyie watu bhana!

Sijawahi kuona mtu wa kutoka Mbeya, Iringa, Kigoma na kwingineko akilalamika kwamba Magu ni mkabila ila ni wachaga tu ndio walikuwa wanalalamika.

Zama zimebadirika bwashee! Mambo ya kumaliza chuo alafu unampigia mjomba akudirect sehemu ukaanze ajira yameshaisha.
 
Nimejiuliza hivi Salama na Zitto wote walijiamini nini? Kipindi cha leo Salama katoa airtime ya kutosha kwa Zitto kumsema Shujaa

Zitto anasema kama kuna Rais aliongoza kwa kujenga barabara basi ni Kikwete na sio Magufuli, hivyo watu waache kupotosha

Anasema Nyerere anakumbukwa kwa falsafa alizoziacha na sio miradi aliyojenga. Yaani leo Zitto kachafukwa mno
Ila kweli miradi ya kuunganisha barabara nchi zilifanyika chini ya kikwete, ajira na uwekezaji ulikuwa mkubwa
 
Hii tabia ya kusema raisi katoa fedha, raisi kajenga barabara, Raisi kanunua ndege, raisi katoa hela za madawa.......... Hivi hatuna system za kiserikali za kutoa fedha bila kumsisha presidents moja kwa moja
Munaumia sana kusikia neno raisi katoa, Swala la kipumabavu na hoja isiyo na msingi na manufaa ila ni nyege tu za wajenga hoja. Hizo pesa ni kwamba angeweza kuzifanyia allocation sehemu nyingine na pia mara ngapi hazijatolewa na hata msijue, mlihoji?. Hizi tabia za kijenga hoja kwenye hamna ni upuuuzi tu, Jambo lakuzingatia ni kwamba zinafika sehemu husika pasipo kujalisha ni nani kazitoa. Tuache upumbavu wa kujaribu kujenga hoja kwenye hamna, kujaribu kusema na kulalamika kwenye kila kitu ni dalili za upumbavu.
 
Zitto unasumbuliwa na udini tu.

Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli

Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza

Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.

Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.

Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.
Kuna wakati tunajadili vitu au watu wasioweza kutusaidia. Sasa hapo mjadala juu ya Magufuli unalisaidiaje Taifa? Je, huyu ambaye hamchukii ameshamsaidia nini?
 
Zitto unasumbuliwa na udini tu.

Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli

Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza

Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.

Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.

Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.
Zito Yuko sahihi kabisa, magu aliamini kwenye ubabe, zaidi rais ulimzuzua.
 
Munaumia sana kusikia neno raisi katoa, Swala la kipumabavu na hoja isiyo na msingi na manufaa ila ni nyege tu za wajenga hoja. Hizo pesa ni kwamba angeweza kuzifanyia allocation sehemu nyingine na pia mara ngapi hazijatolewa na hata msijue, mlihoji?. Hizi tabia za kijenga hoja kwenye hamna ni upuuuzi tu, Jambo lakuzingatia ni kwamba zinafika sehemu husika pasipo kujalisha ni nani kazitoa. Tuache upumbavu wa kujaribu kujenga hoja kwenye hamna, kujaribu kusema na kulalamika kwenye kila kitu ni dalili za upumbavu.
Raisi anafanya allocation ya fedha kumbe...... Bunge la bajeti linafanya nini?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Na wa KUDEMKA anampenda sana.
Huyo unaye mdharau ana hekima maradufu ya jiwe.
 
Kiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.

Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.

Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.

Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.

Nilifikili kiongozi kumbe taperi lasiyasa haya mengine yanatakiwa yafilie mbali tz hatuhitaji watu kama zitto
 
Nimejiuliza hivi Salama na Zitto wote walijiamini nini? Kipindi cha leo Salama katoa airtime ya kutosha kwa Zitto kumsema Shujaa

Zitto anasema kama kuna Rais aliongoza kwa kujenga barabara basi ni Kikwete na sio Magufuli, hivyo watu waache kupotosha

Anasema Nyerere anakumbukwa kwa falsafa alizoziacha na sio miradi aliyojenga. Yaani leo Zitto kachafukwa mno
Tangu lini Zitto akawa ni msomi kiasi cha kujua falsafa na .... Huyu ni mtu wa kutafuta maisha tu. Kichwani ni hoi kabisa!! Zaidi ni kusaliti wapinzani wenzake kwa kujiegemeza kidini. Kikwete anamsifu kwa umoja wao wa kishenzi tu!
 
Back
Top Bottom