Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Zitto Kabwe: Hayati Magufuli alikuwa ananichukia

Zitto unasumbuliwa na udini tu.

Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli

Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza

Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.

Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.

Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.
Zitto sasa ndio mpinzani mwenye nguvu zaidi na ushawishi bara na visiwani, Zitto amekuwa na sio mtoto tena na kwenye siasa za Tanzania atafika mbali zaidi kuliko kuliko Mbowe na Tundulissu.,
 
Mbumbumbu wewe sikio la kufa

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
1.Mwandishi wa habari Channel ten Daud Mwangosi alimwagwa utumbo nje na Polisi enzi za JK.

2.Absalom Kibanda alitekwa na kupata kilema cha jicho enzi za JK

3.Dkt.Ulimboka alitekwa na kuteswa kwa kungolewa meno bila ganzi enzi za JK

4.Tanzania ilikuwa na vijana mateja kila Kona baada ya Tanzania kugeuzwa pango la walanguzi wa dawa za kulevya.

Conclusion,JK ndiyo muasisi wa kutenda uovu nchini!
 
1.Mwandishi wa habari Channel ten Daud Mwangosi alimwagwa utumbo nje na Polisi enzi za JK.

2.Absalom Kibanda alitekwa na kupata kilema cha jicho enzi za JK

3.Dkt.Ulimboka alitekwa na kuteswa kwa kungolewa meno bila ganzi enzi za JK

4.Tanzania ilikuwa na vijana mateja kila Kona baada ya Tanzania kugeuzwa pango la walanguzi wa dawa za kulevya.

Conclusion,JK ndiyo muasisi wa kutenda uovu nchini!
Wajitahidi sana kulinganisha.
Lkn hiyo haitohalalisha ushetani wa ********.
Litasemwa Dictator lile kuliko ht Hitler.
Na bado tunakoelekea tutakuwa na siku ya kitaifa kusherehekea kifo chake na kupata uhuru mpya.
Uliona jana TL anahutubia barabarani?
Basi mlivyo na roho mbaya km shetani lenu la Chattle mnatamani km Jiwe awe yy tu ndo anahutubia barabarani na kutafuna hindi la kuchoma

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Mwambieni ZZK hata sisi hatumpendi Kwa unafiki wake, labda waha wenzie wa kigoma Kwa sababu ni wakabila na wadini. Nimesoma kigoma sekondari namaanisha ninachoandika hapa. JPM ni Nuru ya Tanzania hata mataifa ya nje yalimuheshimu wewe ZZK ni nani????????? Jibu ni kwamba ZZK ni mtafutaji na dalali wa kisiasa, Yuko radhi kuuza UTI wa TZ Kwa tende na harua,,,,,,Yale Yale ya UNYANIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII..........................
 
Back
Top Bottom