Mnachihangu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2022
- 890
- 1,022
Nimekuuliza swali, kwa mtu mwenye akili timamu alitakiwa anijibu badala yake unanitukana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuuliza swali, kwa mtu mwenye akili timamu alitakiwa anijibu badala yake unanitukana
Muda mwingine dhambi inashindanishwa na dhambiYaani km JK alifanya ndo inasafisha uovu wa shetani lenu la Chattle?
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Sheitwan hawezi kulinganishwa na chochoteYaani km JK alifanya ndo inasafisha uovu wa shetani lenu la Chattle?
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Ukiona hivyo huyo ni sukuma gang
Yule alikuwa ni sheitwanTena ni kashfa kwa Ukristo kudai eti mtu km ******** na yeye eti alikuwa Mkristo.
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo kikwete alikuwa mwema sana?Sheitwan hawezi kulinganishwa na chochote
Zitto sasa ndio mpinzani mwenye nguvu zaidi na ushawishi bara na visiwani, Zitto amekuwa na sio mtoto tena na kwenye siasa za Tanzania atafika mbali zaidi kuliko kuliko Mbowe na Tundulissu.,Zitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.
Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.
Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.
1.Mwandishi wa habari Channel ten Daud Mwangosi alimwagwa utumbo nje na Polisi enzi za JK.
Wajitahidi sana kulinganisha.1.Mwandishi wa habari Channel ten Daud Mwangosi alimwagwa utumbo nje na Polisi enzi za JK.
2.Absalom Kibanda alitekwa na kupata kilema cha jicho enzi za JK
3.Dkt.Ulimboka alitekwa na kuteswa kwa kungolewa meno bila ganzi enzi za JK
4.Tanzania ilikuwa na vijana mateja kila Kona baada ya Tanzania kugeuzwa pango la walanguzi wa dawa za kulevya.
Conclusion,JK ndiyo muasisi wa kutenda uovu nchini!