mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,369
- 5,866
Pamoja na mkwere wanapendana Sana. Opportunism is inversely proportional to smart politicsππππππππππ Na wa KUDEMKA anampenda sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na mkwere wanapendana Sana. Opportunism is inversely proportional to smart politicsππππππππππ Na wa KUDEMKA anampenda sana.
Ulitaka wakae watu wa dini gani?Zito Ni mdimi. Angalia ACT top management Ni maustaadhi
Sisi tunaangalia kama alichosema ni fact, mambo ya kuaminika au kutoaminika hayatuhusu, hatutafuti baba paroko hapaZitto haaminiki kabisa, wasiomjua watamshangilia
Kutopendwa yeye na JPM inakusaidia nn alitaka uteuzi? Au asikilizwe kila anachotaka? Hii nchi politicians wasipokuwa na maslahi na kiongozi aliyepo madarakani na kama hawanufaiki wanaongea sanaSisi tunaangalia kama alichosema ni fact, mambo ya kuaminika au kutoaminika hayatuhusu, hatutafuti baba paroko hapa
Kaulizwa swali kajibuKutopendwa yeye na JPM inakusaidia nn alitaka uteuzi? Au asikilizwe kila anachotaka? Hii nchi politicians wasipokuwa na maslahi na kiongozi aliyepo madarakani na kama hawanufaiki wanaongea sana
Wachumia tumbo tu hamna loloteKaulizwa swali kajibu
Labda kama una jibu lako tofauti, basi ungemtumtumia meseji. ili ajibu unavyotaka
Magufuri ndiye Rais na Waziri wa Ujenzi aliyejenga miundo mbinu mingi kuanzia kipindi cha Mkapa, Kikwete na hata Kipindi chake. Zitto watch out!Salama hajaongoza kipindi kwa uwiano.yeye mwenyewe anachuki binafsi na magufuli.wanahabari wa kitanzania kufikia viwango vya kina salim kikeke,Charles hilali bado sana.huwezi kumuachia MTU unayemuhoji amtupie MTU lawama bila kumuoji kisa ni nini?.unamuacha anajieleza bila kumuuliza swami.mfano amesema jk ndio rais aliyejenga barabala km nyingi kuliko rais yeyote tz.jk miaka kumi magufuli miaka 5 na miezi 5 ametengeneza km ngapi? Ndio hayo yalitakiwa kuulizwa.na alikopa sh ngapi nje na magufuli alikopa sh ngapi nje.
Nani aliwaweka cdm mjini?Sio wote wengine si chadema naongea ninachokijua, chadema walifurahia kifo chake wakati ndo aliwaweka mjini.
Zzk ni mchumia tumbo tu hana loloteMwenye kumuamini Zito ni mpuuzi, mtu alisha wahi kusema wanasiasa tusiwaamini bado utamuamini huyo zito wakati ni mwanasiasa!
Udini wa zitto upo wapi hapo? Kuna zitto alikuwa maarufu kuikosoa serikali kipindi gani?Zitto unasumbuliwa na udini tu.
Angejifunza kwa Shehe Ponda kusimamia ukweli
Kuliko kuwa mtu wa kuuma na kupuliza
Tunawaambia kila siku Achaneni na Mtu ambaye hawezi kujitetea tena.
Lakini kutwa kucha Magufuli Magufuli, Zitto ndio maana hata Kigoma hana ushawishi kabisa.
Nini kimebadilika ndani ya utawala huu zaidi ya upuuzi mtupu.
Nipo Mwandiga hapa wananchi wanasema hadi leo hawajui ni sababu gani ilimfanya Zzk kwenda kugombea ubunge Kigoma mjini?Sisi tunaangalia kama alichosema ni fact, mambo ya kuaminika au kutoaminika hayatuhusu, hatutafuti baba paroko hapa
Unapiga penyewe maana jamaa ndiye 11 ic wa zittoKutopendwa yeye na JPM inakusaidia nn alitaka uteuzi? Au asikilizwe kila anachotaka? Hii nchi politicians wasipokuwa na maslahi na kiongozi aliyepo madarakani na kama hawanufaiki wanaongea sana
Tunamuhitaji zzk aje mwandiga ili tumuongezee charge maana tunaona ameanza kupoteza weledi.Magufuri ndiye Rais na Waziri wa Ujenzi aliyejenga miundo mbinu mingi kuanzia kipindi cha Mkapa, Kikwete na hata Kipindi chake. Zitto watch out!
Anamchukia kigeu geuKwanini wewe usiwe ndiye dust bin?
Salama na Zitto walichokifanya sio sahihi, leo ni kama waliamua kumchafua hayati Magufuli kwenye kipindi chao, sijapenda kabisa, Serikali ichukue hatua haraka sana dhdi ya kipindi hiko na wahusika.
KamfufueNimefuatilia comment 398 za Uzi huu na zaidi ya 90 comment za Uzi huu zimeonyesha kuwa watu hawajapenda mjadala wa mh zitto kabwe na salama j hii inaonyesha dhairi kuwa Hayati JPM alikuwa kipenzi na chaguo la watanzania