Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Andika vizuriSerikali wenyewe wanafurahia MagufuLi kuchaguliwa kwani wanaopanga hizo ratiba za kuchafua ni wapiga dilI akiwemi Zitto huku SSS AKIFUTAHIA KUMWAGIWA SIFA. LAKINI YA MUNGU MENGI..HUENDA UACHAFU WANAOMRUSBIA MWENDAZAKE UKAWARUKIA WAO
Ni upumbavu kufumbia macho mauaji eti kwa vile liuaji limekufaNi upumbavu ulippitiliza kimsema marehemu
Mawazo yako yatabakia kuheshimikaNimefuatilia comment 398 za Uzi huu na zaidi ya 90 comment za Uzi huu zimeonyesha kuwa watu hawajapenda mjadala wa mh zitto kabwe na salama j hii inaonyesha dhairi kuwa Hayati JPM alikuwa kipenzi na chaguo la watanzania
Zoba tu yule....uchawi anaoubeba ndiyo unamsumbua kichwani mpaka kababuka na kuota mapunyeTatizo la zzk hanaga aibu kabisa
Umeonaeeeee?Zoba tu yule....uchawi anaoubeba ndiyo unamsumbua kichwani mapaka kababuka na kuota mapunye
Alitaka apendwe hahhaha. Aingie chama cha Lisu watamdaka vizuriiiiiiiiiKiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.
Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.
Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.
Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.
π π π πZitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.
Hapo aliongea ukweliNimejiuliza hivi Salama na Zitto wote walijiamini nini? Kipindi cha leo Salama katoa airtime ya kutosha kwa Zitto kumsema Shujaa
Zitto anasema kama kuna Rais aliongoza kwa kujenga barabara basi ni Kikwete na sio Magufuli, hivyo watu waache kupotosha
Anasema Nyerere anakumbukwa kwa falsafa alizoziacha na sio miradi aliyojenga. Yaani leo Zitto kachafukwa mno
We ulimpenda Ngosha kwa sbb ni Mkristo!?Zitto alimchukia Magufuli kwa sababu alikuwa mkristo,Sasa hivi yupo ndugu wa Imani katulia tuli kama maji mtungini anajilia zake asali.
Tena ni kashfa kwa Ukristo kudai eti mtu km ******** na yeye eti alikuwa Mkristo.Zitto alimchukia Magufuli kwa sababu alikuwa mkristo,Sasa hivi yupo ndugu wa Imani katulia tuli kama maji mtungini anajilia zake asali.
Maovu gani aliyoyafanya magufuli ambayo kikwete hakuyafanya?We ulimpenda Ngosha kwa sbb ni Mkristo!?
Hukujali ht maovu yake unataka kila mtu ampende kisa tu ni Mkristo??
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Mbumbumbu wewe sikio la kufaMaovu gani aliyoyafanya magufuli ambayo kikwete hakuyafanya?
Yule jamaa alikuwa na chuki mbaya mno kwa wakosoaji wake.Kiongozi wa ACT ndugu Zitto Kabwe akiwa katika kipindi cha Salama Na kinachorushwa Dstv, amekiri kuwa Hayati Magufuli alikuwa anamchukia sana.
Zitto ameongeza zaidi, Magufuli hakuwa na hekima, aliamini katika ubabe, hivyo nilianza kumpinga hapo ndipo chuki yake kwangu ilipoanza.
Zitto alifika mbali zaidi na kusema baada ya Lissu kupigwa risasi Dodoma mwaka 2017 ndipo alipoona kuwa Magufuli hana hekima hapendi kupingwa, hivyo Zitto akaongeza kumpinga hapo ndipo chuki ya Magufuli ilipozidi kwa Zitto.
Yaani hiki kipindi cha leo, Zitto kamsagia sana kunguni Mwendazake.
Yaani km JK alifanya ndo inasafisha uovu wa shetani lenu la Chattle?Maovu gani aliyoyafanya magufuli ambayo kikwete hakuyafanya?