Mabomu ya kivita kwenye mkutano wa Chadema? Au wale hawana haki? Dr Mvungi? Alphonce Mawazo? Unajua sometimes hawa wanasiasa wanatuona punguani sana.Zzk ni mnafki mbona hakusema chochote wkt wa Jk walivyoumizwa akina Absalom Kibanda, Dr Ulimboka, mauaji ya Mtwara wkt wakipinga uvunaji wa gesi?
Hoja ni nzr ila utekelezaji wake ndo mtihani, yaani serikali ijivue nguo yenyeweNaunga mkono hoja ya Zitto.
Unashindana na Mungu wewe chawa wa jiwe?Hiyo tume ya kijaji ianze kwanza kuchunguza chanzo cha kifo cha mpendwa wetu JPM. Kwa yanayoendelea sasa na kauli hizi za ZZK, kuna namna anahusika au anawafahamu wahusika wakuu
Awamu ya 5 inaongoza kwa mabayaUanzishwe uzi wa matukio awamu ya 4 vs 5 tuone hiyo tume ilipaswa kuliliwa toka lini! Wanasiasa ni wanafiki sana, hawa hawa ndio walitufanya wengine tutende dhambi ya kumchukia EL kuwa hafai kwa ufisadi wa kutisha na chanzo cha chain za ufisadi nchi hii alafu wakaja kumsafisha!
Naunga mkono tume ya kuchunguza uhalifu toka awamu ya 4 tusigeuzane watoto wadogo hapa.
Kwa takwimu gani?Awamu ya 5 inaongoza kwa mabaya
Zito kabwe anateswa sana na mimba ya Magufuli, ale ndimu zitamsaidia
Huyu naye ni mdini sn, haoni maovu ya awamu ya 6 sahivi
Ok! Tumekuelewa. Lakini pia tusaidie pia kujua kwa nini mke mwenzio mama Janet(mjane wa Magufuli) amenawili(kanenepa) baada ya kufiwa na jiwe. MSAADA PLZZito kabwe anateswa sana na mimba ya Magufuli, ale ndimu zitamsaidia
Hii ya kukaa wiki USA huioni mkuu.Ya Magufuli yalishapita hayo.sema upo vizuri kuji position na kusoma upepo.Kuna haja kubwa ya kuundwa kwa Tume ya Majaji kwa ajili ya kuwapa nafasi waathirika wa vitendo vya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binaadam vilivyofanyila wakati wa utawala wa Rais Magufuli kupata Haki zao. Watu ambao wamepoteza ndugu zao, waliotekwa, waliobambikiwa Kesi nk. MUHIMU
I repeat a call for a commission of inquiry, to headed by a retired Judge of Court of Appeal, on atrocities committed during the tenure of J P Magufuli administration. All Killings, abductions, disappearance of people, trumped up charges of money laundering MUST be investigated
Ok! Nenda sasa Chato ukafukue pembeni ya kabuli upate haki yako ya msingi.Hata Lisu amenawili mno baada ya kuanza kulelewa na Amsterdam
Poleni sana...Mimi nilivunjiwa nyumba mbili na Utawala wa Magu, pale kibamba.
Hatukupewa hata kiwanja , bali vitu vuetu vilisagwa na kalandinga .
Lilingilia mlango wa mbele na kutokea mlango wa nyuma.
Mpaka mita ya umeme ilisagwa sagwa,,hatukuweza kutowa chochote ila ilikuwa taka taka tuu.
Mungu amlipe Jahanamu ya chini kabisa huko aliko, alijiona mwamba asiyeshindwa.
Nimeshuhudia kumuona Mamayangu Mzazi akilia kama mtoto mdogo,
Dada yangu mkubw alipigwa na stroke ,
na hivi sasa tunatanga tanga kwenye majumba ya jamaa wa karibu.
MUNGU HAKIMU