Zitto Kabwe: Katika ndege 12 alizonunua Hayati Magufuli, ndege 6 hazifanyi kazi, ziko grounded, zina kutu, ingawa tuliambiwa ni mpya

Zitto Kabwe: Katika ndege 12 alizonunua Hayati Magufuli, ndege 6 hazifanyi kazi, ziko grounded, zina kutu, ingawa tuliambiwa ni mpya

Hakuna hoja hapo zaidi ya njaa zake binafsi
Hivi wewe umewezaje hata kujiunga humu JF!?

Binafsi nina mashaka hata kama unaweza ku-log in leave alone kujadili hoja yoyote ndani ya JF hata zilizopo majukwaa kama Mapenzi n.k.
 
Shekhe Zitto anafahamu fika kabisa kwamba, ikiwa tu binadamu hufikwa na magonjwa! Je hayo machuma ambayo leo yapo miaka 6 yakitumika mafuta yasiharibike na kufanyiwa ukarabati?

Hoja ya kwamba ndege zipo benchi zikiwa na kutu huo ni uwongo wa kijinga!
Wewe unayeropoka hapa una ushahidi gani kama ndege hazina kutu!?

Mzee wa Chato alitupiga sana kwa kuvuta ndege za mtumba halafu akadanganya wanyonge wa Tanzania kwamba ndege ni brand new.

Ila haina shida Mungu AMEAMUA ugomvi.
 
Wewe unayeropoka hapa una ushahidi gani kama ndege hazina kutu!?

Mzee wa Chato alitupiga sana kwa kuvuta ndege za mtumba halafu akadanganya wanyonge wa Tanzania kwamba ndege ni brand new.

Ila haina shida Mungu AMEAMUA ugomvi.
Nyinyi msiokuwa wanyonge mlikubali vipi kudanganywa na usomi wenu?
 
..usimshambulie Zitto binafsi, shambulia hoja yake.

..hivi unaona ni sahihi ndege hizo 6 kuwa grounded muda mfupi baada ya kununuliwa?
Ndio shida ya watanzania mtu kukubali au kukataa hoja inategemea na nani amesema sio context ya kilichosemwa
 
..usimshambulie Zitto binafsi, shambulia hoja yake.

..hivi unaona ni sahihi ndege hizo 6 kuwa grounded muda mfupi baada ya kununuliwa?
Unajua tatizo Kuna watu walikuwa wameshamfanya magufuli kama Mungu vile pia hawataki baya lake lisemwe hivi hata ukinunua tipa ya mchanga mpya ndani ya miaka mitano likipiga kazi hutakuta limepata kutu licha ndege tukubali ndege zilikuwa mitumba Bora mama kawa mkweli kwenye mabehewa na vichwa vya traini watu tumemwelewa ila msidanganye watu wazima gari jipya utalijua tu
 
Zitto ametoa tuhuma nyingi dhidi ya Hayati Magufuli na utawala wake.

Mojawapo ni hiyo ya ndege 6 alizonunua Hayati Magufuli kuwa grounded wakati tuliambiwa ni ndege mpya.

Nasubiri kusikia kama Serikali au ATCL watakanusha tuhuma hizi.

Majibu ya ATCL, soma ATCL: Ndege mbili zina shida ya Injini. Ndege moja imekamatwa Uholanzi. Si kweli kuwa ndege sita hazifanyi kazi


Mali ya urithi isipoendelezwa halaumiwi marehemu, Bali warithi ndo huonekana hawana maarifa ya kutosha kuendeleza Mali hizo.
 
Kwa hiyo kitu kikiwa kipya ndio hakiharibiki au hakihitaji maintenance. JPM alifanya yake na hakuwa na siasa za maneno maneno kaacha vitu vingi alivyovifanya ambavyo vizazi na vizazi vitashuhudia na pia kaacha clip nyingi ambazo ziko mitandaoni watu wataziangalia miaka nenda rudi kama kumbukumbu.

Sasa badala ya wanasiasa hasa wa upinzani kufanya vitu watu waone wao wanasambaza maneno na propaganda ambazo haziwezi kulisaidia taifa. Watu wamekuwa wabunge miaka mingi na ruzuku wamepata lakini majimboni kwao hakuna legacy yeyote walioacha zaidi ya maneno leo wanasimama kuua legacy ya mwamba kitu ambacho ni kigumu kweli kweli.
 
Zitto ametoa tuhuma nyingi dhidi ya Hayati Magufuli na utawala wake.

Mojawapo ni hiyo ya ndege 6 alizonunua Hayati Magufuli kuwa grounded wakati tuliambiwa ni ndege mpya.

Nasubiri kusikia kama Serikali au ATCL watakanusha tuhuma hizi.

Majibu ya ATCL, soma
ATCL: Ndege mbili zina shida ya Injini. Ndege moja imekamatwa Uholanzi. Si kweli kuwa ndege sita hazifanyi kazi

Hana hojo nyingine mara terible teen , mara zinakutu .zitto anajifanya haoni yanayoendelea hapa kwa mama au ni kwa vile naye amelambiahwa asali
 
..usimshambulie Zitto binafsi, shambulia hoja yake.

..hivi unaona ni sahihi ndege hizo 6 kuwa grounded muda mfupi baada ya kununuliwa?
Kazipeperushe basi anayepaswa kulaumiwa ni serklali iliyopo kushindwa kiziendesha .
 
Kumtukana JPM hakuta kujenga kisiasa hata watu wa kigoma watakukataa labda upewe ubunge wa mchogo ili kulipwa fadhila za aliyekutuma kumchafua JPM
Ndege mpya zina kutu inamaana tulipigwa sana
 
Ulitegemea ziwe grounded lini ? Kama service hamna unataka ziruke vip , hata kama ni mpya unajua service schedule yake , ndege sio Gari , hlo shirika wamedhamiria kuliua , na watu wanashangilia , ogopa sana kundi la wajinga
Kundi la wajinga hasa wanashangilia kuziground ili wamnyooshee kidole marehem ni ujinga wa kiwango cha juu sijawahi kuona
 
Mwafrika ndio mtu pekee anayepinga maendeleo ya nchi yake lakini yuko tayar kwenda kuishi nchi za nje zenye maendelo mazuri yaliyotafutwa kwa jasho ma dama na raia husika.
 
Huyu jamaa ni mdini!!??
Wakati Magu yupo zilikuwa zinaruka. Magu hayupo haziruki. Unafikiri sisi ni wajinga. Propaganda zako kawadanganye mafala
Ndege zinamwagiwa maji pale kumbe ni bosheni tu sasa zina kutu balaa ni madege makongwe yasiyotengenezeka
 
Tatizo siyo kupanda au kutopenda ndege, na wala siyo kununua ndege zilizotumika. Lakini inatakiwa ifahamike:

1) Ni kweli ndege zilizonunuliwa zilikuwa zimetumika?

2) Kama.zilinunuliwa zimetumika, kwa nini tulidanganywa kuwa ni mpya?

3) Kama zilikuwa mitumba, pesa tuliyoambiwa imetumika kununua ndege mpya, yote ilipelekwa kwa muuzaji au kuna watu waliipiga?

4) Waliohusika na huo ununuzi na malipo, kwa nini wasihojiwe ili watoe ufafanuzi juu ya hayo yote?

Kuharibika kwa kitu chochote si jambo la ajabu, lakini kuharibika kwa ndege 6 kwa kipindi kifupi namna hii, ndege zilizokuwa mpya, si jambo la kawaida. Hii sasa ni zaidi hata ya magari ya kichina.
Onge
5. Kama ni mpya na wew unafuata tu upepo ?
 
Mpumbavu wewe.

Utakufa maskini na omba omba wa fedha haramu.
 
Usizungumzie hisia, zungumzia facts.

Ndege 6 zimekuwa grounded, ni fact.

Ndege hazifanyiwi service ni hisia.

Ndege ni mitumba ni possibility, kwa sababu si kawaida ndege mpya 6 kwa wakati mmoja ziharibike, na si jambo linaloingia akilini kuwa shirika limeshindwa kuzifanyia service ya kawaida ndege 6.

Inatakiwa itolewe taarifa kamili juu ya ukweli wa kila jambo kama ilivyokuwa kwenye mabehewa ya treni tuliyoambiwa ni mapya, baadaye ikagundulika ni mitumba. Rais na Waziri walikuwa waungwana katika kulikiri hilo, lakini kuna wapamve wajinga, waliojifanya ni watetezi wa Serikali, ni watetezi wa Rais Samia, walikuwa wakiropoka tena kwa nguvu kweli kuwa mavehewa ni mapya. Hana hata access ya kujua manunuzi yalivyofanyika, halafu anabakia na ubishi wa kijinga.

Kama huna uhakika, changia hoja, toa mawazo yako, lakini usiwe mbishi.
Kituko anayemkataza mwingine kuongea kwa hisa ndo anaongea kwa hisia tupe basi hiyo picha kuonyesha shedude maintanance was done according
 
Back
Top Bottom