Cannibal OX
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,164
- 3,553
ZZK kateuliwa kuwa Mwenyekiti au Mjumbe wa Bodi ya ATCL au wewe unahusika?Wanasemaje wanasemaje midege mingi lakini zinazofanya kazi chache.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ZZK kateuliwa kuwa Mwenyekiti au Mjumbe wa Bodi ya ATCL au wewe unahusika?Wanasemaje wanasemaje midege mingi lakini zinazofanya kazi chache.
Wenye shilika Lao wamemjibu huyo mbweha wa kigomaJibu hoja acha porojo.
Hivi wewe umewezaje hata kujiunga humu JF!?Hakuna hoja hapo zaidi ya njaa zake binafsi
Wewe unayeropoka hapa una ushahidi gani kama ndege hazina kutu!?Shekhe Zitto anafahamu fika kabisa kwamba, ikiwa tu binadamu hufikwa na magonjwa! Je hayo machuma ambayo leo yapo miaka 6 yakitumika mafuta yasiharibike na kufanyiwa ukarabati?
Hoja ya kwamba ndege zipo benchi zikiwa na kutu huo ni uwongo wa kijinga!
Nyinyi msiokuwa wanyonge mlikubali vipi kudanganywa na usomi wenu?Wewe unayeropoka hapa una ushahidi gani kama ndege hazina kutu!?
Mzee wa Chato alitupiga sana kwa kuvuta ndege za mtumba halafu akadanganya wanyonge wa Tanzania kwamba ndege ni brand new.
Ila haina shida Mungu AMEAMUA ugomvi.
Ndio shida ya watanzania mtu kukubali au kukataa hoja inategemea na nani amesema sio context ya kilichosemwa..usimshambulie Zitto binafsi, shambulia hoja yake.
..hivi unaona ni sahihi ndege hizo 6 kuwa grounded muda mfupi baada ya kununuliwa?
Unajua tatizo Kuna watu walikuwa wameshamfanya magufuli kama Mungu vile pia hawataki baya lake lisemwe hivi hata ukinunua tipa ya mchanga mpya ndani ya miaka mitano likipiga kazi hutakuta limepata kutu licha ndege tukubali ndege zilikuwa mitumba Bora mama kawa mkweli kwenye mabehewa na vichwa vya traini watu tumemwelewa ila msidanganye watu wazima gari jipya utalijua tu..usimshambulie Zitto binafsi, shambulia hoja yake.
..hivi unaona ni sahihi ndege hizo 6 kuwa grounded muda mfupi baada ya kununuliwa?
Zitto ametoa tuhuma nyingi dhidi ya Hayati Magufuli na utawala wake.
Mojawapo ni hiyo ya ndege 6 alizonunua Hayati Magufuli kuwa grounded wakati tuliambiwa ni ndege mpya.
Nasubiri kusikia kama Serikali au ATCL watakanusha tuhuma hizi.
Majibu ya ATCL, soma ATCL: Ndege mbili zina shida ya Injini. Ndege moja imekamatwa Uholanzi. Si kweli kuwa ndege sita hazifanyi kazi
Hana hojo nyingine mara terible teen , mara zinakutu .zitto anajifanya haoni yanayoendelea hapa kwa mama au ni kwa vile naye amelambiahwa asaliZitto ametoa tuhuma nyingi dhidi ya Hayati Magufuli na utawala wake.
Mojawapo ni hiyo ya ndege 6 alizonunua Hayati Magufuli kuwa grounded wakati tuliambiwa ni ndege mpya.
Nasubiri kusikia kama Serikali au ATCL watakanusha tuhuma hizi.
Majibu ya ATCL, soma ATCL: Ndege mbili zina shida ya Injini. Ndege moja imekamatwa Uholanzi. Si kweli kuwa ndege sita hazifanyi kazi
Kazipeperushe basi anayepaswa kulaumiwa ni serklali iliyopo kushindwa kiziendesha ...usimshambulie Zitto binafsi, shambulia hoja yake.
..hivi unaona ni sahihi ndege hizo 6 kuwa grounded muda mfupi baada ya kununuliwa?
Ndege mpya zina kutu inamaana tulipigwa sanaKumtukana JPM hakuta kujenga kisiasa hata watu wa kigoma watakukataa labda upewe ubunge wa mchogo ili kulipwa fadhila za aliyekutuma kumchafua JPM
Kundi la wajinga hasa wanashangilia kuziground ili wamnyooshee kidole marehem ni ujinga wa kiwango cha juu sijawahi kuonaUlitegemea ziwe grounded lini ? Kama service hamna unataka ziruke vip , hata kama ni mpya unajua service schedule yake , ndege sio Gari , hlo shirika wamedhamiria kuliua , na watu wanashangilia , ogopa sana kundi la wajinga
Kama ndege mpya zina kutu na ziko grounded bas itakuwa tumepigwa changa la macho sanaHakuna hoja hapo zaidi ya njaa zake binafsi
Ndege zinamwagiwa maji pale kumbe ni bosheni tu sasa zina kutu balaa ni madege makongwe yasiyotengenezekaHuyu jamaa ni mdini!!??
Wakati Magu yupo zilikuwa zinaruka. Magu hayupo haziruki. Unafikiri sisi ni wajinga. Propaganda zako kawadanganye mafala
Kibaraka wa ZitoNdege zinamwagiwa maji pale kumbe ni bosheni tu sasa zina kutu balaa ni madege makongwe yasiyotengenezeka
OngeTatizo siyo kupanda au kutopenda ndege, na wala siyo kununua ndege zilizotumika. Lakini inatakiwa ifahamike:
1) Ni kweli ndege zilizonunuliwa zilikuwa zimetumika?
2) Kama.zilinunuliwa zimetumika, kwa nini tulidanganywa kuwa ni mpya?
3) Kama zilikuwa mitumba, pesa tuliyoambiwa imetumika kununua ndege mpya, yote ilipelekwa kwa muuzaji au kuna watu waliipiga?
4) Waliohusika na huo ununuzi na malipo, kwa nini wasihojiwe ili watoe ufafanuzi juu ya hayo yote?
Kuharibika kwa kitu chochote si jambo la ajabu, lakini kuharibika kwa ndege 6 kwa kipindi kifupi namna hii, ndege zilizokuwa mpya, si jambo la kawaida. Hii sasa ni zaidi hata ya magari ya kichina.
Kituko anayemkataza mwingine kuongea kwa hisa ndo anaongea kwa hisia tupe basi hiyo picha kuonyesha shedude maintanance was done accordingUsizungumzie hisia, zungumzia facts.
Ndege 6 zimekuwa grounded, ni fact.
Ndege hazifanyiwi service ni hisia.
Ndege ni mitumba ni possibility, kwa sababu si kawaida ndege mpya 6 kwa wakati mmoja ziharibike, na si jambo linaloingia akilini kuwa shirika limeshindwa kuzifanyia service ya kawaida ndege 6.
Inatakiwa itolewe taarifa kamili juu ya ukweli wa kila jambo kama ilivyokuwa kwenye mabehewa ya treni tuliyoambiwa ni mapya, baadaye ikagundulika ni mitumba. Rais na Waziri walikuwa waungwana katika kulikiri hilo, lakini kuna wapamve wajinga, waliojifanya ni watetezi wa Serikali, ni watetezi wa Rais Samia, walikuwa wakiropoka tena kwa nguvu kweli kuwa mavehewa ni mapya. Hana hata access ya kujua manunuzi yalivyofanyika, halafu anabakia na ubishi wa kijinga.
Kama huna uhakika, changia hoja, toa mawazo yako, lakini usiwe mbishi.