Zitto Kabwe: Katika ndege 12 alizonunua Hayati Magufuli, ndege 6 hazifanyi kazi, ziko grounded, zina kutu, ingawa tuliambiwa ni mpya

Zitto Kabwe: Katika ndege 12 alizonunua Hayati Magufuli, ndege 6 hazifanyi kazi, ziko grounded, zina kutu, ingawa tuliambiwa ni mpya

Crap!

Poor contribution from a low mind.

Hoja ni je, tulidanganywa kuwa ndege ni mpya?

Maswali yako mengine yote yanaonesha uwezo wako mdogo wa kujenga na kujibu hoja.

Sijaona kwenye maelezo ya Zito, kuna mahali amemshambulia marehemu Magufuli. Kusema ndege ziluzonunuliwa na Magufuli, imetumika kama identity. Siku zote si zinatajwa ndege za Magufuli?

Lakini kama ni kweli ndege hizo ni mitumba, wananchi wana haki ya kumlaumu Magufuli kwa kuwadanganya kuwa ni ndege mpya. Alistahili kusema ukweli kuwa ndege zimetumika, na angefafanua kwa nini anadhani ni busara kununua hizo ndege zilizotumika.
Kama ni kweli .kama sio kweli nini hoja yako
 
Kama zina kutu mbona sa mia kanunua mabehewa ya treni ya mitumba na zito asemi kitu tena kanunua kinyume na sheria za nchi kuhusu serikali kununua vitu used ...pia kwanini asinge mlaumu Samia kwa hizo ndehe kupata kutu na kuto kuruka wakati wa jpm zote zilikuwa zinafanya kazi au ana dhani watanzania ni wapumbavu wenzake..... blodi shiti .
Ningetegemea ndo apanue mdomo kuhusu hayo mabehewa used lakini kimya kwa kuwa amepewa mKate wake
 
Sasa ndege inarushwa bila kufanyiwa service na hata bajeti ya service watu wanapiga unategemea hiyo ndege hata kama ilikuwa mpya itakuwa imara tena?

Unajua muda mwingine huwa natazama umashuhuri wa huyu jamaa zitto kabwe kwasasa ndipo nagundua jamaa hana jipya la kuoffer kwenye political platform ya Tanzania zaidi ya kuongea vitu ambavyo havina ukweli.

Sasa wewe watu wanaiba mabilion ya pesa sasa hivi huwezi sikia akikazania. Ila kila anapokwenda yeye ni magufuri hiki magufuri kile yaani utadhani yule mzee alimgongea mkewe sasa anakisirani naye. [emoji23][emoji23][emoji23]

Jamaa ni mpumbavu sana huyu miaka hii sijui ndio wenge la umri kwenda.
Mama kununua mabehewa mtumba kinyume kabisa na taratibu za manunuzi na ushahidi upo lakini kijamaa kilivyokinafika kimepiga kimya
 
Mimi huwa nafuga vikuku vyangu, nikiwa nipo nyumbani kuku huwa wananawiri kutaga na kustawi vizuri, nikipata safari hata ya wiki moja nikurudi nakuta kuku wamepunguza kutaga, wengine wamekufa na wengine wanafua wakati tyrodox na chakula niliacha.
 
Mali ya urithi isipoendelezwa halaumiwi marehemu, Bali warithi ndo huonekana hawana maarifa ya kutosha kuendeleza Mali hizo.

..Zitto anahoji kama ndege zilinunuliwa mpya au mtumba.
 
Kama hakuwa ruhusu waongee wakati zinanunuliwa kuna kosa gani wakiongea leo. After all Zitto smezungumxia mchakato mbovu wa manunuzi na Ndege 6 kuwa grounded. Huko siyo kusema Magufuli bali ni kuibua uozo kipindi kile. Hata Maza majuzi katuibulia Mamilioni kupelekwa China... Huko nako ni kusema Magufuli..!? Mwbieni CAG aache kutoa report za Awamu ile kwa kuwa mwenyewe hayupo.
Mchakato unamaanisha madalali au maana waundaji wa ndege wakubwa ni boing na airbus au bombadier .ukitaka bei yake angalia kwa mtandao utakuta kila kitu
 
Hivi wewe umewezaje hata kujiunga humu JF!?

Binafsi nina mashaka hata kama unaweza ku-log in leave alone kujadili hoja yoyote ndani ya JF hata zilizopo majukwaa kama Mapenzi n.k.
Unajadili joja au tetesi zisizokuwa na ushahidi .huo zitto si alituambiwa tunauziwa terible teen na boing
 
Baada ya kununuliwa hizo ndege ilitakiwa shirika liendeshwe na sekta binafsi; hapo ufanisi ungekuwepo.

Kwa mazingira ya sasa, ili hizo ndege zikarabatiwe au zifuate matengenezo ya mara kwa mara kama inavyotakiwa, itakuwa ngumu kwa kufuata taratibu za kimanunuzi, inawezekana gharama ni kubwa na wakati mwingine zinahitaji matengenezo ya dharura, ambayo michakato imejaa urasimu; pamoja na hofu ya kutumia pesa nyingi kwenye matengenezo.

Kwa sekta binafsi, hakuna urasimu; ataangalia faida na hasara, na kufanya maamuzi papo kwa papo.​
 
Zitto ametoa tuhuma nyingi dhidi ya Hayati Magufuli na utawala wake.

Mojawapo ni hiyo ya ndege 6 alizonunua Hayati Magufuli kuwa grounded wakati tuliambiwa ni ndege mpya.

Nasubiri kusikia kama Serikali au ATCL watakanusha tuhuma hizi.

Majibu ya ATCL, soma
ATCL: Ndege mbili zina shida ya Injini. Ndege moja imekamatwa Uholanzi. Si kweli kuwa ndege sita hazifanyi kazi

Katika vijana wote machachari wa upinzani waliotengenezwa na Dr Slaa hakuna hata mmoja mwenye nafuu, wote wamebaki kama waropokaji.
 
Back
Top Bottom