Crap!
Poor contribution from a low mind.
Hoja ni je, tulidanganywa kuwa ndege ni mpya?
Maswali yako mengine yote yanaonesha uwezo wako mdogo wa kujenga na kujibu hoja.
Sijaona kwenye maelezo ya Zito, kuna mahali amemshambulia marehemu Magufuli. Kusema ndege ziluzonunuliwa na Magufuli, imetumika kama identity. Siku zote si zinatajwa ndege za Magufuli?
Lakini kama ni kweli ndege hizo ni mitumba, wananchi wana haki ya kumlaumu Magufuli kwa kuwadanganya kuwa ni ndege mpya. Alistahili kusema ukweli kuwa ndege zimetumika, na angefafanua kwa nini anadhani ni busara kununua hizo ndege zilizotumika.