Zitto Kabwe: Kuomba maridhiano kwa Rais Magufuli ni kujipendekeza na unafiki

Wachumia tumbo wa Lumumba mnaumia sana kuona Chadema wanataka maridhiano. Mumejaa ushetani tupu na ubinafsi
 
Hivi mnataka kusiwe Na maridhiano ili kuwe Na nn? Nimeamini watanzania wengi sio wazalendo
 
Hivi msimamo wa Zitto Kabwe ndio msimamo wa ACTwazalendo? kama ndio basi akina Maalim wataburuzwa sana
Maalim anatakiwa ashtuke haraka kabla ya kung'amua kuwa amejiunga na chama cha kwenye Briefcase na Instagram hatari sana
 
Hivi msimamo wa Zitto Kabwe ndio msimamo wa ACTwazalendo? kama ndio basi akina Maalim wataburuzwa sana
Maalim anatakiwa ashtuke haraka kabla ya kung'amua kuwa amejiunga na chama cha kwenye Briefcase hatari sana
Vipi ndani ya CHADEMA kuna wa kupinga msimamo wa Mbowe.?
 
Vipi ndani ya CHADEMA kuna wa kupinga msimamo wa Mbowe.?
Kamati kuu ilikaa na kuamua kuwepo na maridhiano kwa hiyo maridhiano ni msimamo wa chama tofauti na Zitto ambaye matamko yake ya Instagram ndio (ninavyofikiria mimi) msimamo rasmi wa ACTwazalendo.
Hebu angalia tofauti kati ya Chadema na Actwazalendo
 
Kamati kuu ilikaa na kuamua kuwepo na maridhiano kwa hiyo maridhiano ni msimamo wa chama tofauti na Zitto ambaye matamko yake ya Instagram ndio (ninavyofikiria mimi) msimamo rasmi wa ACTwazalendo.
Hebu angalia tofauti kati ya Chadema na Actwazalendo
Kwa hiyo kamati kuu ndio ilikaa na kuamua kuwapigia simu CCM na kuomba maridhiano.?

Pamoja na kufanyiwa umafia kwenye uchaguzi serikali za mitaa bado mmewapigia simu na kuomba maridhiano.?
 
Kwa hiyo kamati kuu ndio ilikaa na kuamua kuwapigia simu CCM na kuomba maridhiano.?

Pamoja na kufanyiwa umafia kwenye uchaguzi serikali za mitaa bado mmewapigia simu na kuomba maridhiano.?
Je kama ndio njia ya mwisho kabla ya kuingia msituni mwishoni nchi ikisha angamia ndio tutawaambia kuwa... look tulijaribu kila njia mkajimwambafy.
 
Kwa hiyo kamati kuu ndio ilikaa na kuamua kuwapigia simu CCM na kuomba maridhiano.?

Pamoja na kufanyiwa umafia kwenye uchaguzi serikali za mitaa bado mmewapigia simu na kuomba maridhiano.?
Mkuu siku zinavyokwenda ndiyo unazidisha upopoma,kama vipi mfuate huyo jamaa yako huko Sweden.
 
Kwa hiyo kamati kuu ndio ilikaa na kuamua kuwapigia simu CCM na kuomba maridhiano.?

Pamoja na kufanyiwa umafia kwenye uchaguzi serikali za mitaa bado mmewapigia simu na kuomba maridhiano.?
Umafia hata kwa baba wa demokrasia upo. Watanzania tufunguke akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…