Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Na mie pia naunga hoja mkono ya Zitto,Siasa za Tanzania Awamu hii hazihitaji Bembeleza bembeleza ni jino kwa jino.Mimi namuunga mkono Zitto,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mie pia naunga hoja mkono ya Zitto,Siasa za Tanzania Awamu hii hazihitaji Bembeleza bembeleza ni jino kwa jino.Mimi namuunga mkono Zitto,
MkuuMimi namuunga mkono Zitto,
Jino kwa jino ukiwa nyuma ya keyboard/keypad!Na mie pia naunga hoja mkono ya Zitto,Siasa za Tanzania Awamu hii hazihitaji Bembeleza bembeleza ni jino kwa jino.
Karibu mitaa hiiMkuu
Hata hivyo sijawahi kusoma andiko lako ambalo umetofautiana na Zitto! Inawezekana nikawa siko sahihi!
Una pweinti!Jicho la mbali,
Kinachowasumbua Chadema ni kesi ,
Wakijifanya wanapambana na jiwe jino kwa jino
Watakwenda kweli segedensa
Kuna mtu mkubwa kawashauri wajitafakari na kisha waungane na jiwe, katika kujenga nchi
Na jiwe atawaonea huruma na
kesi yao itafutwa kimya kimya..
Mtoto wa mjini ukiona maji mazito unatafuta chocholo..