RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Ndio maana alionekana mtu waajabu na mjinga, lakini wale waliotoka nao wanafanya yale ambayo tulikuwa tunayaona yakijinga, kwa nini nao tusiwaone hawana tofauti na Zitto ya ukasuku tu?.mbna yeye, siku ya ufunguzi wa bunge, alibaki ndani huku CDM wakitoka nje, hakuona ajabu, au akili zake hazikuwepo kipindi hicho?
Labda niulize tu Chadema wanaomba maridhiano ya nini?.
Waruhusiwe na Magufuli kufanya mikutano ya siasa?.
Wawaruhusu Wananchi kutambua viongozi wa serikali za mitaa?.
Maridhiano hayaombwi.