Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je ungekuwa ni wewe Mbowe unguwasilisha ujumbe vipi? ukianzia hapo ili tuone kama usingeingia mtego alionaswa nao MboweZitto yuko sahihi.
Wapinzani kwa sasa hawalijui lipi walitakalo.
Wasitarajie maradhiano kwa serikali hii inayoongozwa na jiwe.
Kweli mkuu........ sababu anavuka mipaka sasaSerkali iwe makini na huyu mtu
Kamanda uko tayari kuwa suicide bomber tukuvishe mabomu kama wale wapalestina? Au ni keyboard warrior tu?Zitto hua simkubali ila kwa hili yuko sawa kwa zaidi ya 100%.
Kikwete hawezi kuhudhuria maana angepigwa za uso na magu,kuna jukumu kubwa la kitaifa zaidi ya kuhudhuriaRais Mstaafu Kikwete ambaye sote tunajua yupo Marekani kwa majukumu muhimu ya kimataifa.
kama ni jino kwa jino mbona mange Kimambi mlimtelekeza! Wanafiki sana nyie!Na mie pia naunga hoja mkono ya Zitto,Siasa za Tanzania Awamu hii hazihitaji Bembeleza bembeleza ni jino kwa jino.
Kumbe mkuu unalikumbuka hilo? Yeye ZZK mbona wenzie wa upinzani aliwatosa akabaki Bungeni?Wakati wenzake wanamgomea Jiwe Bungeni yeye si alibaki peke yake,Leo hii analialia nini?aache unafiki.
I'll umwelewe zito,sharti uwe na akili kubwa, Kama akili ni ndogo huwezi kumwelewa yule.Huyu Zitto mi namwonaga mtu wa ajabu sana...... Sijawahi tilia maanani anayoongea.....
Leo nakuunga mkono. Utafanyaje siasa ya jino kwa jino na serikali? Ambayo ina vyombo vyote vya dola na mamlaka? Hatua hiyo huwa ni ya mwisho kabisa baada ya kukaa mezani kukubaliana kutokubaliana huku mkiangalia Taifa lenu na sio vyama vyenu kwanza.Jino kwa jino ukiwa nyuma ya keyboard/keypad!
Tanzania kuna vituko!