mnkenimtaita78
Member
- Aug 29, 2018
- 78
- 95
Mtoa mada labda atakuwa katika umri Wa chini ya miaka 30.Kwasababu enzi zile wazazi walifanya jitihada watoto wao wasome sekondari hata kwa kurudia darasa la Saba mara kadhaa.Phillips ungesoma wakati wetu wala usingehitaji ushahidi kwa sababu hiyo ilikuwa ni kawaida sana
Bahati nzuri kuna mdau keshasema hapa kuwa Jaffar mwenyewe alishakiri kwamba alibadili jina ilu akariri darasa la saba
Sasa unataka ushahidi gani?
Sisi wahenga tunajuana sana bwashee
Kumbuka nafasi zilikuwa chache kuingia sekondari.Ilikiwa ni kawaida kusoma na mtu darsa moja huku amekuzidi miaka sita sababu ya kurudia.
Wapo wahadhiri,wabunge na mawaziri waliokazini na wamepitia njia hizi.Walikaa darasani na kusoma.Hakuna alietumbuliwa kwa vyeti feki.Labda mtoa mada ana jambo lake mahususi kwa huyu mzee awe wazi tu.