Kwa hizo Akili za kwenda kuambiwa na "I do you"
Au kwa Vision ipi hasa ambayo wapinzani wa nchi hii waliyonayo?
Kwenda kukaa na wazungu halafu wawafundishe jinsi ya kuleta mifarakano kwenye nchi zenu kwa faida zao?
Kazi kubwa ya kituonyesha mfano kwa upinzani wa kitanzania ni kununulika kwa Shekeli tu.
Kuanzia Mr Chairman mpaka kina Zitto!
Kuanzia yule aliyemuuzia chama Lowassa mpaka yule aliyemuuzia Chama Membe!
Hadi hawa Wa- bonge wanaobongewa na kulainika asubuhi.
Kifo cha CCM au Anguko la CCM litatokana na wana CCM wenyewe!