Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

Mashehe wanakupasua kwa nusu ya kitimoto ukivaa kanzu unavuja linda marinda wewe shoga mzee
Sili maupumbavu hayo !! Tambua vijana wenzio wanaolewa kama wewe ,very soon utakuwa ushaolewa umetoka jela jamaa washakuharibu kabisa
 
Majaji wako sahihi tatizo Zitto anatafuta huruma kisiasa ya kuungwa mkono na Waislamu kupitia Asad walio onewa ni wengi kwa nini iwe kwa Asad au kwa sababu ana sigda.

Wewe ulitaka hao wengi awafungulie kesi hizo kesi kwani nao walikuwa nao ni Chief editors
 
Kwa hizo Akili za kwenda kuambiwa na "I do you"

Au kwa Vision ipi hasa ambayo wapinzani wa nchi hii waliyonayo?

Kwenda kukaa na wazungu halafu wawafundishe jinsi ya kuleta mifarakano kwenye nchi zenu kwa faida zao?

Kazi kubwa ya kituonyesha mfano kwa upinzani wa kitanzania ni kununulika kwa Shekeli tu.

Kuanzia Mr Chairman mpaka kina Zitto!

Kuanzia yule aliyemuuzia chama Lowassa mpaka yule aliyemuuzia Chama Membe!

Hadi hawa Wa- bonge wanaobongewa na kulainika asubuhi.

Kifo cha CCM au Anguko la CCM litatokana na wana CCM wenyewe!
Siyo Wapinzani wote walioko kwa Wazungu hata CCM kuna watu kibao wanaishi kwa Wazungu acha utoto.
 
Hapo utakuwa umekosea . Hivi wale majaji wote ni Waislamu ? Nadhani muhimu ni kuwepo mfumo wa haki ambao anapoonewa mtu , awe na dini yoyote au awe hana dini aweze kupata haki zake kisheria
Mi nazungumzia malengo ya Zitto kisiasa nielewe ndugu sina mashaka na na uamuzi wa Majaji Zitto anatafuta huruma ya kuungwa mkono na jamii ya dini ya Kiislamu katika chama chake.
 
Kwahiyo na wanaomshindisha midomoni nao ni mambuziii. Duuuuuuh. Mwacheniii shujaaa ale na nyiee zamu yenu itafika mtalala
Shujaa wa Mambuzi ameliwa na mchwa ingawa enzi za uhai wake alikatisha maisha ya wengi leo amekuwa mbolea huko Chato.
 
Back
Top Bottom