Niwaheri
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,994
- 4,729
Ila na wewe sijui chama kinakutoa mpaka ufahamu wako,yaani nawazaga hivi we ni kijana,mtu mzima au mzeee??CHADEMA watabisha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila na wewe sijui chama kinakutoa mpaka ufahamu wako,yaani nawazaga hivi we ni kijana,mtu mzima au mzeee??CHADEMA watabisha!
Aliyetangaza upande wa Kenya ni mwanasiasa na hajatoa ushahid wa kisayans kuthibitisha hayo madaiKila taifa lina mamlaka husika kulinda mipaka na usalama wa raia wake. Anapoibuka mwanasiasa anayetaka kutumia tukio fulani kupata umaarufu wa kisiasa ni upuuzi ambao hauna nafasi kwenye dunia ya leo.
Mamlaka ya Kenya kuangalia usalama wa chakula ina watalaamu wanaofanya kazi kwa weledi na utalaamu. Kuibuka mwanasiasa mnafiki kukosoa na kudai mahindi ni salama bila ushahidi wa kisayansi ni upuuzi.
Magufuli sio kiongozi ni mtawala wala haishangazi kutozingatia diplomasia inasemaje
Delete hii pumbaAliyetangaza upande wa Kenya ni mwanasiasa na hajatoa ushahid wa kisayans kuthibitisha hayo madai
Wewe ni kichaaMagufuli sio kiongozi ni mtawala wala haishangazi kutozingatia diplomasia inasemaje
Happy women's day to you Nyankurungu2020Kila taifa lina mamlaka husika kulinda mipaka na usalama wa raia wake. Anapoibuka mwanasiasa anayetaka kutumia tukio fulani kupata umaarufu wa kisiasa ni upuuzi ambao hauna nafasi kwenye dunia ya leo.
Mamlaka ya Kenya kuangalia usalama wa chakula ina watalaamu wanaofanya kazi kwa weledi na utalaamu. Kuibuka mwanasiasa mnafiki kukosoa na kudai mahindi ni salama bila ushahidi wa kisayansi ni upuuzi.
Acha uzushi kwan sisi watz tunakula mahindi haya haya na tunaendelea kudunda , wakenya wazushi tuuKila taifa lina mamlaka husika kulinda mipaka na usalama wa raia wake. Anapoibuka mwanasiasa anayetaka kutumia tukio fulani kupata umaarufu wa kisiasa ni upuuzi ambao hauna nafasi kwenye dunia ya leo.
Mamlaka ya Kenya kuangalia usalama wa chakula ina watalaamu wanaofanya kazi kwa weledi na utalaamu. Kuibuka mwanasiasa mnafiki kukosoa na kudai mahindi ni salama bila ushahidi wa kisayansi ni upuuzi.
Kila taifa lina mamlaka husika kulinda mipaka na usalama wa raia wake. Anapoibuka mwanasiasa anayetaka kutumia tukio fulani kupata umaarufu wa kisiasa ni upuuzi ambao hauna nafasi kwenye dunia ya leo.
Mamlaka ya Kenya kuangalia usalama wa chakula ina watalaamu wanaofanya kazi kwa weledi na utalaamu. Kuibuka mwanasiasa mnafiki kukosoa na kudai mahindi ni salama bila ushahidi wa kisayansi ni upuuzi.
Hamna uzalendo hapo yeye ndiyo amesaidia taarifa ya kenya kuonekana ni kweli, kwa kuthibitisha mahindi ya mikoa miwili yana sumu.Haya ni maajabu. Yaani Zitto Kabwe ameanza kuwa mzalendo wa nchi yake. Tundu Lissu huko aliko atakuwa amefura sana na hii U-turn ya Zitto.
Wewe ni mpu.mbavu sana! Zitto ni Kiongozi Mkuu wa Chama tena mwenye maarifa makubwa! Wewe unadhani hana washauri kwenye kila fani! CCM tumejaza midude mijinga sana awamu hii ya 5!Kila taifa lina mamlaka husika kulinda mipaka na usalama wa raia wake. Anapoibuka mwanasiasa anayetaka kutumia tukio fulani kupata umaarufu wa kisiasa ni upuuzi ambao hauna nafasi kwenye dunia ya leo.
Mamlaka ya Kenya kuangalia usalama wa chakula ina watalaamu wanaofanya kazi kwa weledi na utalaamu. Kuibuka mwanasiasa mnafiki kukosoa na kudai mahindi ni salama bila ushahidi wa kisayansi ni upuuzi.
Zitto ndiyo kiongozi wa upinzani siyo wapu.mba. Vu wao ni kufurahia matatizo ya nchi yao tuAlafu kwanini chadema linapotokea mgogoro kati ya Kenya tz huwa wanasimama upande wa Kenga?
Kwanini chadema mnajiona wanyonge sana mbele ya wakenya?
Mbona Zitto alishawahi kusema Raisi wetu kapigwa radi na Wazee wa Ruangwa au umesahauZitto ana akili zaidi kuliko Lissu anaehoji Rais yuko wapi kisa hajamuona kanisani.
Moja ya vutu ambavyo huwa nawapongeza wanakigoma, nikumgaragaza na kumtimua kwenye ubunge huyo zito. Kwakweli wanakigoma Mungu awabarikii.Kila taifa lina mamlaka husika kulinda mipaka na usalama wa raia wake. Anapoibuka mwanasiasa anayetaka kutumia tukio fulani kupata umaarufu wa kisiasa ni upuuzi ambao hauna nafasi kwenye dunia ya leo.
Mamlaka ya Kenya kuangalia usalama wa chakula ina watalaamu wanaofanya kazi kwa weledi na utalaamu. Kuibuka mwanasiasa mnafiki kukosoa na kudai mahindi ni salama bila ushahidi wa kisayansi ni upuuzi.
Unamaanisha lisu yule mzee wa kiki??Mbona Zitto alishawahi kusema Raisi wetu kapigwa radi na Wazee wa Ruangwa au umesahau
Lissu hamumuwezi na hizo IQ zenu hafifu
Kwa mujibu wa hizi posti zenu za kitoto zinaakisi iq zenu hafifuUnamaanisha lisu yule mzee wa kiki??