Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Siwezi katu kutetea ujinga wa Tanzania!Unahangaika sana kuwatete wakenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi katu kutetea ujinga wa Tanzania!Unahangaika sana kuwatete wakenya
Mtaalamu wa usalama wa chakula anapimwaje na kujulikana mtaalamu?Kila taifa lina mamlaka husika kulinda mipaka na usalama wa raia wake. Anapoibuka mwanasiasa anayetaka kutumia tukio fulani kupata umaarufu wa kisiasa ni upuuzi ambao hauna nafasi kwenye dunia ya leo.
Mamlaka ya Kenya kuangalia usalama wa chakula ina watalaamu wanaofanya kazi kwa weledi na utalaamu. Kuibuka mwanasiasa mnafiki kukosoa na kudai mahindi ni salama bila ushahidi wa kisayansi ni upuuzi.
Unajua TBS wanafahamu vipi ubora wa chakula au vipodozi? Wapi ameweka maoni ya wataalamu?Mtaalamu wa usalama wa chakula anapimwaje na kujulikana mtaalamu?
Zitto ni mbunge. Unajuaje hajaongea kwa kuwakilisha maoni ya wataalamu?
Unawajua sana hawa nyumbuNilisema Chadema lazima watabisha!
Kwani cdm ndio walio toa cri yakow mahindi yeti yanga sumuAlafu kwanini chadema linapotokea mgogoro kati ya Kenya tz huwa wanasimama upande wa Kenga?
Kwanini chadema mnajiona wanyonge sana mbele ya wakenya?
Nyumbu sana haoMnamkosoa kwasababu kaenda kinyume na mnavyotaka, ila angekubaliana na Kenya walichofanya mgemsifia kutwa nzima.
Mtaalamu wa usalama wa chakula anapimwaje na kujulikana mtaalamu?Unajua Tbs wanafahamu vipi ubora wa chakula au vipodozi? Wapi ameweka maoni ya wataalamu?
Ibara ya 18 ya katiba ya Tanzania inasemajeKila taifa lina mamlaka husika kulinda mipaka na usalama wa raia wake. Anapoibuka mwanasiasa anayetaka kutumia tukio fulani kupata umaarufu wa kisiasa ni upuuzi ambao hauna nafasi kwenye dunia ya leo.
Mamlaka ya Kenya kuangalia usalama wa chakula ina watalaamu wanaofanya kazi kwa weledi na utalaamu. Kuibuka mwanasiasa mnafiki kukosoa na kudai mahindi ni salama bila ushahidi wa kisayansi ni upuuzi.
Kwa hiyo ukiwa na hiyo haki ndio uitumie kama unaharishaIbara ya 18 ya katiba ya Tanzania inasemaje
Nahisi katikati ya makalio unawashwa.Kwanini unajikomba komba wewe. Kama angelisema yule mvuta bangi sijui Kasheko usingesema kitu, pumbafu zako Mwache Zitto wa watu
Hamia kabisa Kenya mkuu au unataka waje wakubebeSiwezi katu kutetea ujinga wa Tanzania!
Iko hivyo, zuia maziwa na siagi piaKuigusa Kenya, wewe futa safari za KQ Tanzania na funga mpaka! Utaona watakavyokurupuka.
Acha uchawi ni hatari kwa maisha yako.CHADEMA watabisha!
Hayo mahindi kenya wameanza kuyachukua leo? mabepari ya kenya huwa yananunua mahindi kutoka Tanzania kwa pupa na kwenda kuyahifadhi katika mzingira ya hovyo jambo ambalo huzalisha sumu kuvu kwa wingi yakiwa yamehifadhiwa huko huko kwao, tatizo la aflatoxin halijaanza leo kenya, milipuko imekuwa inatokea mara kwa mara tangu mwaka 1981. Mfano, mwaka 2004 zaidi ya watu 200 walilazwa kwa kula mahindi yenye viwango vya juu vya aflatoxin na watu 20 walifariki. Tatizo la aflatoxin kenya linasababishwa na mabepari kuhodhi mahindi na kuyahifadhi kwa muda mrefu na baadaye kuyatoa kwa bei nafuu kwa watu maskini ambao huwa wamekumbwa na uhaba mkubwa wa chakula. Mbona tatizo la viwango vya juu vya aflatoxin kwenye mahindi ni nadra sana kuripotiwa Tanzania..na tafiti zilizofanyika maeneo mbalimbali nchini zimeonyesha viwango vya chini kabisa vya aflatoxin kwenye mahindi yaliyovunwa ambavyo haviwezi kuwa na madhara kwa binadamu. Kama Zitto kaongea na yeye amekuwa informed na mamlaka za usalama wa chakula Tanzania, au unafikiri hizo mamlaka za kenya ndo zipo reliable kutoa accurate data, bullshit..Kila taifa lina mamlaka husika kulinda mipaka na usalama wa raia wake. Anapoibuka mwanasiasa anayetaka kutumia tukio fulani kupata umaarufu wa kisiasa ni upuuzi ambao hauna nafasi kwenye dunia ya leo.
Mamlaka ya Kenya kuangalia usalama wa chakula ina watalaamu wanaofanya kazi kwa weledi na utalaamu. Kuibuka mwanasiasa mnafiki kukosoa na kudai mahindi ni salama bila ushahidi wa kisayansi ni upuuzi.