Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Kuna ishu za kitoto zinaendelea kati ya hizi nchi mbili na mbaya zaidi zinaathiri maisha ya watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hovyo.Wakulima wengi walitumbukia kwenye umasikini wa kutisha, wafanyabiashara walifilisika na msimu uliofuata mavuno yalishuka sana. Sitaki kuona mkulima wa Tanzania akirudi kwenye maumivu yale kwa Serikali kushindwa kutimiza wajibu wake.
Barua gani tena?Majibu yatoke wizara ya kilimo kuliko kwa huyo Zitto kabwe.
Kama walivofanya wakenya.
Zitto aache tabia za wanasiasa '"mediocre" kuzungumzia kila kitu. Yes, ni diplomacy, ola angehimiza wizara ya kilimo kupitia wakala wa utafiti wajibu barua ya Kenya kwa facts. Sio kuzungumzia diplomacy kwenye research za wengine.
CHADEMA watabisha!
Chadema hoja zao ni tume huru, kuibiwa kura, corona yani upumbavu mtupu. Ukiwaambia wafanye siasa ya kutoa solution kwa matatizo ya wananchi unaambulia matusi. Wenyewe kila siku ni maslahi binafsi ya chama tu halafu wanategemea wachaguliwe. 2020 wamevuna walichopanda wananchi hawakuwa na sababu ya kuwashika na kuwachagua
Wao ni pingapinga wa kila jambo!CHADEMA wanahusikaje katika hili bandiko?
Unahangaika sana kuwatete wakenyaBila shaka yo yote Zitto anatafuta uteuzi kupitia siasa zake za kinafiki. Zitto anafahamu fika kuwa Tanzania ndiyo imekuwa kikwazo katika kuridhia sheria kuhusu sumu kuvu wakati nchi nyingine zote zilikwisha ridhia.
Hatuwezi kulazimisha kuwauzia sumu Wakenya, haikubaliki kimataifa wala kibinadamu.
Say Whaat ?!!!!Kwa mujibu wa utafiti, Mahindi ya mikoa miwili tu ndio yana kiwango kikubwa cha aflatoxin, Manyara na Dodoma. Mahindi ya Mbeya, Iringa, Rukwa, Ruvuma, Kigoma etc hayana kabisa aflatoxin. Kenya hawawezi KISHERIA/KIMKATABA kuzuia Mahindi yote ya Tanzania!
Unaishi Tanzania?Tupe hiyo taarifa ya ZZK
Amepima mahindi akakuta hayana sumu?Zitto ana akili zaidi kuliko Lisu anaehoji Rais yuko wapi kisa hajamuona kanisani.
Tumia akili za kuzaliwa.Alafu kwanini chadema linapotokea mgogoro kati ya Kenya tz huwa wanasimama upande wa Kenga?
Kwanini chadema mnajiona wanyonge sana mbele ya wakenya?