johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Uwajibikaji wa pamoja!mlimshirikisha wakati wa uchomaji wa vifaranga na kuuza mifugo ya kenya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwajibikaji wa pamoja!mlimshirikisha wakati wa uchomaji wa vifaranga na kuuza mifugo ya kenya?
Kwani wewe cocoa unauza wapi?Hivi ni lazima muuze mahindi yenu Kenya
Mkiona mambo yanaenda kombo mnakimbilia uwajibikaji wa pamoja, lakini siku mkisifiwa mnasema ni serikali ya ccm na mnawazodoa wapinzani.Uwajibikaji wa pamoja!
Ukiwaangalia siasa zinazoendelea nchini Kenya kuhusu bei ya Gunia (90 kg) ...wakulima wanataka walipwe sh 3,640 kwa gunia na wanalalamika kwamba kwa sasa wana mahindi mengi sana plus kwamba 2022 wana uchaguzi basi wakulima wamewakamata wana siasa
Sasa upo uwezekano wa serikali yao kutumia njia hii ya kusema kwamba mahindi yetu yana sumu ili kuwazuia wafanya biashara watanzania wasipeleke mahindi kenya ili kuwalinda wakulima wao ...lakini haya nayaandika ila sijathibisha ...
Tena mtawala wa hovyoMagufuli sio kiongozi ni mtawala wala haishangazi kutozingatia diplomasia inasemaje
Stakabadhi ghalani , na hatulipwiKwani wewe cocoa unauza wapi?
Hivi ni lazima muuze mahindi yenu Kenya
Mkuu ni suala la mda tu, mahindi tutauza vizuri tu.Wako wapi wale wapumbavu walikuwa wakipiga makelele eti wakenya sisi ndio tunawalisha, haya mnaemlisha kasema hataki chakula chenu, mnapagawa nini tena? Kaangeni bisi mle, hapo ndio mtajua umuhimu wa masoko na kuyaheshimu
Wizara ishasema, na wanafuatili.Kama wizara husika haijasema chochote unataka Zitto naye awe kimya?
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Barua ya wakenya ni ya ndani haijaandikiwa serikari yetu huwezi ijibu ,mimi nazani taasisi zinazohusika na ubora wa chakula za kenya na tanzania zikutane na wachukue sampuli wapime waje na majibu ya kutoka maabalaMajibu yatoke wizara ya kilimo kuliko kwa huyo Zitto kabwe.
Kama walivofanya wakenya.
Zitto aache tabia za wanasiasa '"mediocre" kuzungumzia kila kitu. Yes, ni diplomacy, ola angehimiza wizara ya kilimo kupitia wakala wa utafiti wajibu barua ya Kenya kwa facts. Sio kuzungumzia diplomacy kwenye research za wengine.
Kwamba Kenyata ni dikteta ndio ameamuru watu wake wazuie mahindi toka tz?Dikteta ndiyo ametufikisha hapa
Ndiyo aliyezuia mahindi kwenda Kenya? Wewe ni utopolo kweli kweli.Magufuli sio kiongozi ni mtawala wala haishangazi kutozingatia diplomasia inasemaje