Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
check flight statistics. flight statistics hzaionyeshi hivyoJaribu uone! Sehemu kubwa ya watumiaji wa KQ wanaotokatoka nje ni kwa sababu ya kuja kutembelea vivutio vya Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
check flight statistics. flight statistics hzaionyeshi hivyoJaribu uone! Sehemu kubwa ya watumiaji wa KQ wanaotokatoka nje ni kwa sababu ya kuja kutembelea vivutio vya Tanzania.
Chadema watabisha hamjasababisha soko la mahindi kuyumba au?Chadema watabisha!
Kwani dipromasia ni kuwa unyanyaswe kila mara kisha ujibebeshe kwa udhaifu ndio dipromasia?Magufuli sio kiongozi ni mtawala wala haishangazi kutozingatia diplomasia inasemaje
ACT on transit to ccm.Kwani Zitto Kabwe yuko chama gani?
Acha ujingaMlivyochoma vifaranga vyao 6000 nakutaifisha ng'ombe zao mliwaeleza kindugu? Mkuki kwa nguruwe ...
Hata hapo bado amefanya kazi ya ushauri....Niliposema Zito Kabwe awe mshauri wa Mheshimiwa kuhusu uchumi hamkunielewa, sasa bado pia hamtaelewa eti eeh.
Nchi yoote hadi mende na nzi wa chooni ni kijani, CHADEMA bado haiishi midomoni mwenu mna shida gani?Chadema hoja zao ni tume huru, kuibiwa kura, corona yani upumbavu mtupu. Ukiwaambia wafanye siasa ya kutoa solution kwa matatizo ya wananchi unaambulia matusi. Wenyewe kila siku ni maslahi binafsi ya chama tu halafu wanategemea wachaguliwe. 2020 wamevuna walichopanda wananchi hawakuwa na sababu ya kuwashika na kuwach
Nani aache ujinga ni huyo aliyeleta hoja au huyo alechoma vifaranga na kutaifisha ngombe bila kuwa taarifa wahusika?Acha ujinga
Hayo si ndio ilibidi yafanywe na Kenya kabla ya kutoa katazo?Siasa kila kitu, Kenya wamesema na kuweka kinachowafanya wayakatae mazao ya TZ. Jibu ni kuwa prove wrong kwa kuomba vipimo vifanyike kwa kutumia neutral lab na wote wahudhurie kama witness. Sio kukimbilia kufunga mipaka, kuzuia ndege nk. Scietific allegations hujibiwa kisayansi pia sio kisiasa.
CHADEMA wanahusikaje katika hili bandiko?CHADEMA watabisha!
mtu/watu wowote against serikali hii dhalimu ni rafiki yetu, haiwezekani mtufanyie uhuni kwenye uchafuzi (uchaguzi) mkuu halafu tuwapende...simpo tu, adui yenu sisi ni rafiki kipenzi.Chadema mnajiona wanyonge mbele ya kila mtu!
Sisi tulifikiri ni kwa wazungu tu kumbe hata kwa wakenya? Au kwa vile wanaongea sana Kingereza?