Zitto Kabwe: Mkopo wa Benki ya Dunia kuboresha elimu, Serikali ililenga kuinufaisha CCM kwa kununua vyuo vilivyo chini ya chama hicho

No fear,no hate.
Watu jasiri kama hawa wanahitajika sasa kuliko wakati mwingine. Hongera kwa mbiu.
 
Mie napita naelekea mbinguni kwa mbele

Sent from my SM-P585 using Tapatalk
 
 
JITU MOJA LIMEWAHI KUSEMA HAYA CHINI

Ndugu zangu niwaambie ukweli tena ukweli mtupu nchi yetu ni tajiri sana sisi sio maskini kila siku tunaombaomba tumechokwa tunataka ifike hatuwa wao ndio watuombe tena ikiwezekana na mitumba tuwauzie wao huu ndio ukweli usiopingika sio maneno yangu.....
 
Hivi huyu Zitto si ndo aliyeenda kwa mabeberu kushinikiza kuzuia mradi wa Bonde la Nyerere (Stiglars Gorge) usianze? Je alifanikiwa? Mradi si unaendelea? Kelele za chura hazizuii chura kunywa maji! Hao wanafunzi wapenda ngono na kuzaliana shuleni akaanzishe shule yake akawasomeshe! Hatujakataza NGO na shule binafsi kusomesha wazazi! Tumekataa shule za umma zinazoendeshwa kwa kodi za wananchi kushabikia ngono mashuleni kuzaliana na kuruhusiwa kuendelea! Zitto na mabeberu wanaokussuport anzisheni hizo shule si tu za kusomesha wazazi lakini pia za kusomesha mashoga! Prof. Assad tayari kaishatumbuliwa na tumeishamsahau!
 
Wale wote wanaomponda Zitto na kumuita Msaliti, wamejitia upofu na hawataki kusoma wala kusikia chochote kuhusu hii paragraph
 
Hongera Zitto,
CCM kama mna hoja za msingi jibuni au andikeni barua na nyinyi za kutetea,

Mipasho na maneno ya Kanga ndio yanawafanya muonekane hamjielewi,

Andikeni hoja nzito kujibu hizo tuhuma hapo,acheni kumshambulia mtu binafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…