Zitto Kabwe: Mkopo wa Benki ya Dunia kuboresha elimu, Serikali ililenga kuinufaisha CCM kwa kununua vyuo vilivyo chini ya chama hicho

Serikali inapata wapi hela kama siyo kodi kutoka kwa wananchi wake wote?
Serikali Ina vyanzo vingi, mirabaha ya madini makusanyo ya maduhuli tozo za mbugani na bandarini, huyu mja mzito anasubiri kujifungua bure na kusomeshewa bure hawezi lips hats Mia ya mkopo
 
Hivi hili suala la mjamzito kutorudi shule kwani lomeanza awamu hii?

Mbona miaka yote ipo hivyo, haikuwahi kupingwa na kushadadiwa kama hivi karibuni. Au kisa JPM alitilia mkazo?

Ingekuwa ni haki za watoto wa kike, basi wangeipinga toka zamani. Vinginevyo ni kulifanya mtaji wa kisiasa jambo hili.

Toka Mkapa yupo mdarakani, naju hii sheria ipo na mjamzito harudishwi akijifungua. Ila sikuwahi kuona upinzani wakiisema hii. na hata alipokuja mkwere mambo yalikuwa ni hivyohivyo...... Ila kuja kutiliwa mkazo na JPM imekuwa ndiyo jambo la kufanyia siasa.
 
Hivi kile kisiwa Cha mafia nyerere alikokuwa anawaficha bado kipo?
 
hivi hao WB wametoa majibu gani tokea wapokee barua ya Zitto?
 

Bunge lipi, hili ambalo liko kashabiki na kujikita kwenye kuwakomoa wapinzani zaidi? Wote tunaona kinachoendelea hivi sasa hapa nchini dhidi ya wapinzani, je ni hoja ipi ingejadiliwa hapo? Uchaguzi juzi umevurugwa na cdm jana wameomba uchaguzi huo urudiwe lakini serikali imegoma. Kwanini Zito asichukue hatua stahiki huko nje? Kama humu ndani hatusukilizwi acha twende nje tukapate msaada wa nchi za nje.
 
Hivi hili suala la mjamzito kutorudi shule kwani lomeanza awamu hii?
JPM alituahidi kuwa watarudi shule na watapata haki sawa kama wengine na lipo kwenye ilani yao. Sasa mbona anatuacha solombe na ahadi hii...? Tudai ahadi yetu, tumpinge.
 
Jamani aliyeona kipengele cha mimba anisaidie?

Pili tunaombeni na barua ya kingereza tuisome tuone maana kiswahili bwana hakieleweki barabara na bara bara eti ni tofauti
 
P
 
Watoto waliopata mimba kuendelea na masomo sio tatizo, ila wanaendelea vipi? Je wanarudi katika shule yake ile ile aliyokua akisoma awali au atafutiwe shule nyingine?

Leo nilikua nawauliza wanafunzi, je wana mtazamo gani juu ya kuruhusiwa kwa watoto waliopata ujauzito kuendelea na masomo? Walioonekana kuunga mkono hili na kulifurahia kama lingekuwepo ni wavulana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hassan Mambosasa kinachoongelewa siyo sheria inayokataza mtoto wa kike kurudi shule baada ya kujifungua bali mkopo kulipwa na huyo mtoto ama wazazi wake. Huo mkopo hautalipwa na hao mabinti mnaowafukuza na kuwazuia wasirudi shule?
 
Sasa mbona WB wanasema wamezuia kisa mimba sasa mbonq hatuoni hoja ya mimba hapo au ndio upepo wa kisurisuri umemkuta zito kamua tembea nao yani kakutana na mtaji wa kiki ya kisiasa kamua tembea nayo
 
Ndugai na CCM wamekosa hoja, hoja sio Zitto kuomba WB wazuie Mkopo, Hoja ni je alichoandila Zitto na WB wakakielewa ni Uongo?

Nashangaa hawataki kugusa content ya barua ya Zitto Kabwe wanagusia tu Matokeo ya Barua husika.

CCM na ndugai wajibu hoja kuwa tunasitahili mikopo
1. Kwakuwa wasichana wanaruhusiwa kuendelea na masomo baada ya Kujifungua

2. Wathibitishe bila shaka kuwa Tanzania kuna uhuru wa habari

3. Kuwa Siasa Tanzania zinafanyika kwa uhuru kea mujibu wa katiba

4. Kuwa Kupotea, kukamatwa na kuwekwa vizuizini ikiwepo kuteka Raia na Waandishi wa Habari, Serikali haihusiki na unachukua hatua.

Hizi ni baadhi ya hoja wanazopaswa kuzijibu au kukanusha toka kwenye maďai ya ZZK kwenda kwa WB. Vinginevyo hawana hoja.

Viva ZZK tupo kukupa Sapoti sisi Wananchi

Dumelang
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…