Zitto Kabwe: Mkopo wa Benki ya Dunia kuboresha elimu, Serikali ililenga kuinufaisha CCM kwa kununua vyuo vilivyo chini ya chama hicho

Nchi haziongozwi kwa akili ndogo kama yako! Hujui chochote kojoa ukalale!
 
 
1. Wangeleta bungeni kabla ya kuomba mkopo.
2. Mkopo usha ombwa, kuleta bungeni ni kuruhusu utolewe wkt mkiendelea na majadiliano
3. Hakuna bunge la kupinga uamuzi wa serikali uwe mzuri au mbaya
4. Spika mwenyewe anaongoza kwa kupewa maelekezo.
5. Tayari serikali imetangaza mara nyingi haitaki pesa za makaburu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe si unajiamini?,na huogopi?,sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bunge lipi? Kwani kuna Mbunge hata mmoja wa CCM kwenye Bunge la Ndugai anayejitambua? Bunge halina uhuru kabisa kwa vile Ndugai ana amrishwa na Jiwe nyuma ya la
pazia kukandamiza wawakilishi wa wananchi
 
Halafu wana jf wengi mlikuwa hamjaifatilia hii barua, neno lililokuwa kipaumbele ni mabinti wakipata mimba warudi shule.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana.

Mabinti waliopata mimba na kusimamisha masomo walikuwepo tokea enzi za uhuru wetu. Hakuna lolote hapo lililobadilika katika awamu zote zilizopita.

Tofauti ni moja tu ambayo wengi wenu mnaoshupalia hili hamtaki kuikubali.

Hilo moja la hao watoto limeunganika na mengi mengine kama yalivyoorodheshwa kwenye barua hiyo.

Hiyo ndiyo tofauti mnayotakiwa kuitilia maanani; lakini mnaikwepa! Kwa nini?
 
Nani angemsikiliza ama kuzipokea hizo hoja?
 
Mimi nasubiri mrejesho wa huko Washington nadhan sisi wana lumumba ni vizuri tukamtuma balozi wetu akatupangulie hoja za Zitto
 
Kumzuia Mtanzania kupata elimu ni kukiuka katiba. Wanafunzi wenye ujauzito wana haki ya kuendelea na elimu baada ya kujifungua.
Kwaiyo wakipata mimba na kuzaa, mtoto nani analea?
 
Nasi weupe kichwani tumeelewa.chanja mbuga zitto tungepata kama huyu wa5 wanashambulia kwa umoja ingekuwa poa
 
Tuache siasa watoto wanaopata mimba hawajawai kuruhusiwa kuendelea na masomo kwenye shule za umma toka Mkapa, Kikwete Sema kilichomponza Magufuli ni kuropoka na dunia ikajua.
Uko poa sana we jamaa,Magufuli analopoka sana
 
Kuna binti a najiandaa kushika mimba usiku huu akijua atapata msamaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…