MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
Unaijua Botswana? Ni nchi ya chama kimoja? Namibia ni nchi ya chama kimoja? Singapore, Hong Kong, Brazil, ni nchi za chama kimoja?Mfumo wa vyama vingi haujawahi kuwa na msaada katika maendeleo ya nchi zinazo endelea(Developing Countries) tena kwa dunia ya sasa.
Guys go and learn from developed countries
toa suruhisho mkuu mfumo upi wa chama kimoja amaMfumo wa vyama vingi haujawahi kuwa na msaada katika maendeleo ya nchi zinazo endelea(Developing Countries) tena kwa dunia ya sasa.
Guys go and learn from developed countries
Nyerere ujamaa ulimshinda sijui unaongea nn ww,kasome historians ya tzMfumo wa vyama vingi haujawahi kuwa na msaada katika maendeleo ya nchi zinazo endelea(Developing Countries) tena kwa dunia ya sasa.
Guys go and learn from developed countries
Wezi huchukia DemokrasiaMfumo wa vyama vingi haujawahi kuwa na msaada katika maendeleo ya nchi zinazo endelea(Developing Countries) tena kwa dunia ya sasa.
Guys go and learn from developed countries
Hawa walizoea kwenda kuoshwa matako ulaya baada ya mwenda zake kubana sasa wanafia kwenye ndege.Hawa jamaa naona suala la Ndege linawapa kiki, Kila mtu Ndege. Ndege. Utadhani hassara itokanayo na Ndege ilianza Jana au juzi.
Si bora kunahasara lakini Ndege tunaziona. Soma report za CAG kuanzia miaka ya tisini halafu ndo mtajua kua wanaoshadadia hili swala kwa kumchafua ni wachumia tumbo au ni watafuta kiki.
Ila naamini mda si mrefu Mh, Mama Raisi atawagundua janja janja yenu.
CCM-kuweni makini, mnachimbiwa Kaburi.
Kwa hiyo unataka wapinzani waungane na watawala kuficha taarifa za ubadhirifu na wizi wa mali za umma unaotekelezwa na watawala mafisadi?!Mfumo wa vyama vingi haujawahi kuwa na msaada katika maendeleo ya nchi zinazo endelea(Developing Countries) tena kwa dunia ya sasa.
Guys go and learn from developed countries
Yaani tuchukue mfano wa ujinga wa zamani kuendeleza ujinga?Hawa jamaa naona suala la Ndege linawapa kiki, Kila mtu Ndege. Ndege. Utadhani hassara itokanayo na Ndege ilianza Jana au juzi.
Si bora kunahasara lakini Ndege tunaziona. Soma report za CAG kuanzia miaka ya tisini halafu ndo mtajua kua wanaoshadadia hili swala kwa kumchafua ni wachumia tumbo au ni watafuta kiki.
Ila naamini mda si mrefu Mh, Mama Raisi atawagundua janja janja yenu.
CCM-kuweni makini, mnachimbiwa Kaburi.
Sawa MSD wanaidai Serikali lakini pia inachangiwa na Uongozi mbovu wa MSD kuweza kuzitumia vizuri hela zinazopelekwa pale MSD.Akichambua ripoti ya CAG, Zitto amesema taarifa ya CAG imeibaini MSD inaidai serikali zaidi ya sh bilioni 300 na MSD ili ijiendeshe inahitaji sh bilioni 500 fedha ambayo inalingana na gharama ilotumika kununua ndege moja.
Mtu mmoja unajifanya kujua kila kitu, basi ni mwendo wa kukurupuka tu.....Mamiradi ya bila kujipanga ndio yameifikisha nchi na taasisi zake katika hali hii.
Sijazungumzia ujamaa wala ubepariNyerere ujamaa ulimshinda sijui unaongea nn ww,kasome historians ya tz
SawaWezi huchukia Demokrasia
Uelewa ni shida sana siku hizi,Kwa hiyo unataka wapinzani waungane na watawala kuficha taarifa za ubadhirifu na wizi wa mali za umma unaotekelezwa na watawala mafisadi?!
Tunapotaka kufanya maendeleo ya nchitoa suruhisho mkuu mfumo upi wa chama kimoja ama
Ukiangalia kwa jicho la tatu zito na kigogo2014 wanajuana au zito ni sehemu ya kigogo....Akichambua ripoti ya CAG, Zitto amesema taarifa ya CAG imeibaini MSD inaidai Serikali zaidi ya sh bilioni 300 na MSD ili ijiendeshe inahitaji sh bilioni 500 fedha ambayo inalingana na gharama ilotumika kununua ndege moja.
Safiii SanaaUnaijua Botswana? Ni nchi ya chama kimoja? Namibia ni nchi ya chama kimoja? Singapore, Hong Kong, Brazil, ni nchi za chama kimoja?