Zitto Kabwe Mtegoni

huyu ni kiongozi na uongozi unataka umakini
 
"hakikisha upo msafi maeneo yote" ikiwa au wakati serikali ni chafu maeneo yote.
 
Nguruwe wa animal farm wewe.
 
Huenda kuna nyama imemukwama kooni! Haya mambo ya kula bila kunawa lazima ubaki na harufu!
 
Shetani si wa kumpuuza
Huyu Zitto simuamini kabisa maana kachezea sana ndevu za simba lakini hakuna kilichotekea sema huyu ni kibaraka wa serikali kuonyesha haiwashughulikii wapinzani. Yale yaliyomfanya Lissu afunguliwe kesi ndiyo huyu chizi anayafanya lakini hakuna kinachotokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…