chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Jul 21, 2022 Thread starter #61 Duniangumu said: ZZK mzee wa kulamba Asali Click to expand... Mbowe naye mara Yuko ikulu, mara kwa Waziri Mkuu, yaani ni asali mwanzo mwisho
Duniangumu said: ZZK mzee wa kulamba Asali Click to expand... Mbowe naye mara Yuko ikulu, mara kwa Waziri Mkuu, yaani ni asali mwanzo mwisho
W WALOLA VUNZYA JF-Expert Member Joined Nov 20, 2020 Posts 7,154 Reaction score 7,155 Jul 21, 2022 #62 Team JPM said: Kweli JPM kiboko, yaani alimnyoosha zitto mpaka akawa mwepesi. Utamkumbuka daima, kiboko wa wanasiasa uchwara. Hivi deni la Taifa saivi shingapi? Click to expand... Deni aliloliacha mwendazake
Team JPM said: Kweli JPM kiboko, yaani alimnyoosha zitto mpaka akawa mwepesi. Utamkumbuka daima, kiboko wa wanasiasa uchwara. Hivi deni la Taifa saivi shingapi? Click to expand... Deni aliloliacha mwendazake
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jul 21, 2022 #63 Mungu alitusaidia sn
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jul 21, 2022 #64 WALOLA VUNZYA said: Maneno ya kwenye magazeti hayo lakini mitaani ilionyesha jinsi nchi ilivyoporomoka kisiasa,kijamii,kiuchumi,kiutamadani na kielimu. Click to expand... Mpango alikuwa anapika data
WALOLA VUNZYA said: Maneno ya kwenye magazeti hayo lakini mitaani ilionyesha jinsi nchi ilivyoporomoka kisiasa,kijamii,kiuchumi,kiutamadani na kielimu. Click to expand... Mpango alikuwa anapika data