Zitto Kabwe na Mbowe wanaharibu maisha ya watanzania kwa kutanguliza matumbo yao na kufanya siasa za kihuni

Zitto Kabwe na Mbowe wanaharibu maisha ya watanzania kwa kutanguliza matumbo yao na kufanya siasa za kihuni

Taifa lolote ili liweze kuendelea lazima liwe na upinzani madhubuti.

Upinzani madhubuti utairekebisha serikali inayotawala pale inapokosea na kukandamiza wanaotawaliwa.

Eti maridhiano! Maridhiano wakati wananchi wanaishi maisha magumu?

Tozo,kodi na gharama za maisha juu. Ni tatizo linalolibali taifa. Sio maridhiano uchwara.
Huu ndio ukweli
Maridhiano is a scam
Yote yanatokea wapo kimya loliondo ni mfano mmoja gharama za maisha rushwa(hili ni msumari hata kwao)

Wakifika Ikulu ndio wanakuja na stori
Upinzani ni game nyingine kama gambling… wapinzani are not serious…
 
Taifa lolote ili liweze kuendelea lazima liwe na upinzani madhubuti.

Upinzani madhubuti utairekebisha serikali inayotawala pale inapokosea na kukandamiza wanaotawaliwa.

Eti maridhiano! Maridhiano wakati wananchi wanaishi maisha magumu?

Tozo,kodi na gharama za maisha juu. Ni tatizo linalolibali taifa. Sio maridhiano uchwara.
Mmechukia mno nyie sukuma gang kwa maridhiano aliyoleta mheshimiwa Mbowe Tanzania.
 
Taifa lolote ili liweze kuendelea lazima liwe na upinzani madhubuti.

Upinzani madhubuti utairekebisha serikali inayotawala pale inapokosea na kukandamiza wanaotawaliwa.

Eti maridhiano! Maridhiano wakati wananchi wanaishi maisha magumu?

Tozo,kodi na gharama za maisha juu. Ni tatizo linalolibali taifa. Sio maridhiano uchwara.
Kwani wewe ukiyarekebisha maisha ya Watz Kuna shida gani Hadi uwalaumu wao?
 
Taifa lolote ili liweze kuendelea lazima liwe na upinzani madhubuti.

Upinzani madhubuti utairekebisha serikali inayotawala pale inapokosea na kukandamiza wanaotawaliwa.

Eti maridhiano! Maridhiano wakati wananchi wanaishi maisha magumu?

Tozo,kodi na gharama za maisha juu. Ni tatizo linalolibali taifa. Sio maridhiano uchwara.
Wewe unda chama chako ufanye iwezavyo ulitaka mboe afanyeje analaumu tu bila kutoa mwongozo
 
Taifa lolote ili liweze kuendelea lazima liwe na upinzani madhubuti.

Upinzani madhubuti utairekebisha serikali inayotawala pale inapokosea na kukandamiza wanaotawaliwa.

Eti maridhiano! Maridhiano wakati wananchi wanaishi maisha magumu?

Tozo,kodi na gharama za maisha juu. Ni tatizo linalolibali taifa. Sio maridhiano uchwara.
Uhuni unafanywa na chama chako dola ambacho kinakufanya uwe masikini hadi wa kuchangia hoja,usitegemee watu wakupiganie wakati wewe umefyatq mkia katikati ya miguu yako
 
Taifa lolote ili liweze kuendelea lazima liwe na upinzani madhubuti.

Upinzani madhubuti utairekebisha serikali inayotawala pale inapokosea na kukandamiza wanaotawaliwa.

Eti maridhiano! Maridhiano wakati wananchi wanaishi maisha magumu?

Tozo,kodi na gharama za maisha juu. Ni tatizo linalolibali taifa. Sio maridhiano uchwara.
CCM pekee mmeshindwa kuondoa tozo,kodi na gharama za maisha,mpaka msaidiwe na wapinzani?.
 
Mwana Chadema anamlaumu Zitto Kabwe....as if Zitto ndo kiongozi wa Chadema
 
Taifa lolote ili liweze kuendelea lazima liwe na upinzani madhubuti.

Upinzani madhubuti utairekebisha serikali inayotawala pale inapokosea na kukandamiza wanaotawaliwa.

Eti maridhiano! Maridhiano wakati wananchi wanaishi maisha magumu?

Tozo,kodi na gharama za maisha juu. Ni tatizo linalolibali taifa. Sio maridhiano uchwara.
Maridhiano utafikiri kulikua na ugomvi.
 
Back
Top Bottom