Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mimi si mwandishi mzuri,ni mvivu kuandika mambo kwa undani. Nitaandika short & clear.
Ndani ya miaka 5 ya uongozi wa Mh. Magufuli Watanzania kama wafanyabiashara, watumishi wa umma na watumishi wa sekta binafsi, wakulima wa mazao mbalimbali wamepitia kipindi kigumu.
Hata wananchi wa kawaida nao wamekuwa wakiushangilia utawala wa Mh. Magufuli kwa mihemko tu lakini hali zao zimekuwa ngumu.
Karibu kila ukoo au familia wameshuhudia ndugu au watoto wao wakiishia kuwa jobless baada ya kukosa ajira.
Classmates wangu wa advance ambao karibu 98 % walihitimu shahada ya kwanza 2016 na 2017 wengi hawako ktk ajira rasmi. Wanasubiri miujiza.
Uchaguzi mkuu wa October 25 ,2020 ndio ulikuwa wa kumnyima kura za ndio Mheshimiwa Magufuli na kumpa Mh.Tundu Lissu au mpinzani yeyote aliye thabiti.
Sasa Mh. Zitto Kabwe anapotaka kutuletea huyu Mh. Membe anakwenda kuzigawa kura za upinzani na kuifanya CCM iendelee kututawala bila ridhaa yetu.
Membe (mgeni) karibu upinzani ila nafasi ya kugombea Urais hustahili kwasasa, labda miaka 5 ijayo.
Hatutaki ya Lowasa, si kwamba una uchungu sana na Watanzania bali unauchungu na ndoto zako za kuwa Rais ambazo zilizimwa na wamafia kule Dodoma 2015.
Kuna brother mmoja ni senior officer TISS aliwahi kuniuliza swali moja wakati tunajadili jambo fulani. Aliniuliza " Hivi kwanini Lowasa katika kipindi chote alichokuwa upinzani hakuwahi kutoa siri yoyote ya serikali?".
Hili swali ni fupi na jepesi ila lina majibu mengi kwa ndani.
Tusiwaamini hawa half cast wa kisiasa kwa 100%.
Ndani ya miaka 5 ya uongozi wa Mh. Magufuli Watanzania kama wafanyabiashara, watumishi wa umma na watumishi wa sekta binafsi, wakulima wa mazao mbalimbali wamepitia kipindi kigumu.
Hata wananchi wa kawaida nao wamekuwa wakiushangilia utawala wa Mh. Magufuli kwa mihemko tu lakini hali zao zimekuwa ngumu.
Karibu kila ukoo au familia wameshuhudia ndugu au watoto wao wakiishia kuwa jobless baada ya kukosa ajira.
Classmates wangu wa advance ambao karibu 98 % walihitimu shahada ya kwanza 2016 na 2017 wengi hawako ktk ajira rasmi. Wanasubiri miujiza.
Uchaguzi mkuu wa October 25 ,2020 ndio ulikuwa wa kumnyima kura za ndio Mheshimiwa Magufuli na kumpa Mh.Tundu Lissu au mpinzani yeyote aliye thabiti.
Sasa Mh. Zitto Kabwe anapotaka kutuletea huyu Mh. Membe anakwenda kuzigawa kura za upinzani na kuifanya CCM iendelee kututawala bila ridhaa yetu.
Membe (mgeni) karibu upinzani ila nafasi ya kugombea Urais hustahili kwasasa, labda miaka 5 ijayo.
Hatutaki ya Lowasa, si kwamba una uchungu sana na Watanzania bali unauchungu na ndoto zako za kuwa Rais ambazo zilizimwa na wamafia kule Dodoma 2015.
Kuna brother mmoja ni senior officer TISS aliwahi kuniuliza swali moja wakati tunajadili jambo fulani. Aliniuliza " Hivi kwanini Lowasa katika kipindi chote alichokuwa upinzani hakuwahi kutoa siri yoyote ya serikali?".
Hili swali ni fupi na jepesi ila lina majibu mengi kwa ndani.
Tusiwaamini hawa half cast wa kisiasa kwa 100%.