Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe ndiye atakayesababisha CCM waingie Ikulu kiulaini 2020

Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe ndiye atakayesababisha CCM waingie Ikulu kiulaini 2020

ngoja Zitto aje na ile turufu yake ya #orodha ya majina ya vigogo walioficha fedha zao Uswizi! hahaha! Usahaulifu wa watanganyika ni mtaji wa wanasiasa dhaifu!
 
Hivi Magufuli kasababishaje tatizo la ajira?

Au tunamtumia baada ya kuzikosa sababu tu za tatizo la ajira. Maana tatizo la ajira nchi hii lipo toka enzi za JK.

Tumesahau kabla ya Magufuli kuanza kutawala mzee Lowassa alikuwa analalamikia bomu litakalolipuka? Ajira ni tatizo la Dunia na karibia kila nchi inahangaika na ajira.
Mkuu, upo darasa la ngapi?!
 
ngoja Zitto aje na ile turufu yake ya #orodha ya majina ya vigogo walioficha fedha zao Uswizi! hahaha! Usahaulifu wa watanganyika ni mtaji wa wanasiasa dhaifu!
Kabisa kama chadema walivyomsafisa lowassa waliyetwambia ni fisadi kwa miaka 8
 
Mimi si mwandishi mzuri,ni mvivu kuandika mambo kwa undani. Nitaandika short & clear.

Ndani ya miaka 5 ya uongozi wa Mh. Magufuli Watanzania kama wafanyabiashara, watumishi wa umma na watumishi wa sekta binafsi, wakulima wa mazao mbalimbali wamepitia kipindi kigumu.

Hata wananchi wa kawaida nao wamekuwa wakiushangilia utawala wa Mh. Magufuli kwa mihemko tu lakini hali zao zimekuwa ngumu.

Karibu kila ukoo au familia wameshuhudia ndugu au watoto wao wakiishia kuwa jobless baada ya kukosa ajira.

Classmates wangu wa advance ambao karibu 98 % walihitimu shahada ya kwanza 2016 na 2017 wengi hawako ktk ajira rasmi. Wanasubiri miujiza.

Uchaguzi mkuu wa October 25 ,2020 ndio ulikuwa wa kumnyima kura za ndio Mheshimiwa Magufuli na kumpa Mh.Tundu Lissu au mpinzani yeyote aliye thabiti.

Sasa Mh. Zitto Kabwe anapotaka kutuletea huyu Mh. Membe anakwenda kuzigawa kura za upinzani na kuifanya CCM iendelee kututawala bila ridhaa yetu.

Membe (mgeni) karibu upinzani ila nafasi ya kugombea Urais hustahili kwasasa, labda miaka 5 ijayo.

Hatutaki ya Lowasa, si kwamba una uchungu sana na Watanzania bali unauchungu na ndoto zako za kuwa Rais ambazo zilizimwa na wamafia kule Dodoma 2015.

Nakuomba rekebisha ' Heading ' hapo na isomeke ' Zitto Kabwe ameshaifanikishia CCM na Rais Dkt. Magufuli Ushindi wa Kishindo ' Mkuu wangu.
 
Mimi si mwandishi mzuri,ni mvivu kuandika mambo kwa undani. Nitaandika short & clear.

Ndani ya miaka 5 ya uongozi wa Mh. Magufuli Watanzania kama wafanyabiashara, watumishi wa umma na watumishi wa sekta binafsi, wakulima wa mazao mbalimbali wamepitia kipindi kigumu.

Hata wananchi wa kawaida nao wamekuwa wakiushangilia utawala wa Mh. Magufuli kwa mihemko tu lakini hali zao zimekuwa ngumu.

Karibu kila ukoo au familia wameshuhudia ndugu au watoto wao wakiishia kuwa jobless baada ya kukosa ajira.

Classmates wangu wa advance ambao karibu 98 % walihitimu shahada ya kwanza 2016 na 2017 wengi hawako ktk ajira rasmi. Wanasubiri miujiza.

Uchaguzi mkuu wa October 25 ,2020 ndio ulikuwa wa kumnyima kura za ndio Mheshimiwa Magufuli na kumpa Mh.Tundu Lissu au mpinzani yeyote aliye thabiti.

Sasa Mh. Zitto Kabwe anapotaka kutuletea huyu Mh. Membe anakwenda kuzigawa kura za upinzani na kuifanya CCM iendelee kututawala bila ridhaa yetu.

Membe (mgeni) karibu upinzani ila nafasi ya kugombea Urais hustahili kwasasa, labda miaka 5 ijayo.

Hatutaki ya Lowasa, si kwamba una uchungu sana na Watanzania bali unauchungu na ndoto zako za kuwa Rais ambazo zilizimwa na wamafia kule Dodoma 2015.

Wewe mjinga umetafuta wa kulaumu, unaomba po mapema hivi?

Kabla ya CDM kulikuwa na NCCR na CDM hawakuwahi kuwaza kutokukua au kupaa juu kwa sababu ya NCCR

CCM ina manguvu mno kwa sasa na upinzani uko weak mno

Kweli umekosa cha kuandika na akili yako maridhawa hata kama umekulia kama chokoraa, umeona wa kulaumiwa ni zitto???

Hamjakoma kumzushia na kumlaumu huyu mtu ambaye ame prove kusimama imara nyakati ngumu kabisa hizi za upinzani??

Kuwa na huruma
 
Haya kachukue ujira wako.
Kwa taarifa yako Mimi sio mwanachama wa chama chochote bali siupendi utawala huu dhalimu wa Magufuli. Anajua kabisa hapendwi na watu wengi ukiondoa nyie wajinga na wapumbavu
Wewe mjinga umetafuta wa kulaumu, unaomba po mapema hivi?

Kabla ya CDM kulikuwa na NCCR na CDM hawakuwahi kuwaza kutokukua au kupaa juu kwa sababu ya NCCR

CCM ina manguvu mno kwa sasa na upinzani uko weak mno

Kweli umekosa cha kuandika na akili yako maridhawa hata kama umekulia kama chokoraa, umeona wa kulaumiwa ni zitto???

Hamjakoma kumzushia na kumlaumu huyu mtu ambaye ame prove kusimama imara nyakati ngumu kabisa hizi za upinzani??

Kuwa na huruma
 
Hv kweli Huyu jamaa anahamia ACT?
IMG_20200716_105934.jpeg
 
Jiweke kwenye nafasi ya Zitto Kama nawewe unahitaji kukuza chama ungemkataa Membe?. Jambo la msingi wapinzani waangalie namna bora yakushirikiana, ingawa akigombea Membe sintomuunga mkono, mimi namuhitaji Lisu.
 
Hivi mnasoma ili muajiliwe au kupata maarifa ndio maana kuna degree za chupi na kununua kama ukitumia vizuri elimu uliyopata hautawaza kuajiliwa
 
Mimi si mwandishi mzuri,ni mvivu kuandika mambo kwa undani. Nitaandika short & clear.

Ndani ya miaka 5 ya uongozi wa Mh. Magufuli Watanzania kama wafanyabiashara, watumishi wa umma na watumishi wa sekta binafsi, wakulima wa mazao mbalimbali wamepitia kipindi kigumu.

Hata wananchi wa kawaida nao wamekuwa wakiushangilia utawala wa Mh. Magufuli kwa mihemko tu lakini hali zao zimekuwa ngumu.

Karibu kila ukoo au familia wameshuhudia ndugu au watoto wao wakiishia kuwa jobless baada ya kukosa ajira.

Classmates wangu wa advance ambao karibu 98 % walihitimu shahada ya kwanza 2016 na 2017 wengi hawako ktk ajira rasmi. Wanasubiri miujiza.

Uchaguzi mkuu wa October 25 ,2020 ndio ulikuwa wa kumnyima kura za ndio Mheshimiwa Magufuli na kumpa Mh.Tundu Lissu au mpinzani yeyote aliye thabiti.

Sasa Mh. Zitto Kabwe anapotaka kutuletea huyu Mh. Membe anakwenda kuzigawa kura za upinzani na kuifanya CCM iendelee kututawala bila ridhaa yetu.

Membe (mgeni) karibu upinzani ila nafasi ya kugombea Urais hustahili kwasasa, labda miaka 5 ijayo.

Hatutaki ya Lowasa, si kwamba una uchungu sana na Watanzania bali unauchungu na ndoto zako za kuwa Rais ambazo zilizimwa na wamafia kule Dodoma 2015.
Hii ninaiunga mkono.
Nilianza kupata mashaka na membe pale alitaka coarition ya upinzani ndipo agombee urais

Ninapata shaka sna kuanzia pale kwenye kuvuja kwa sauti ya kina kinana.
Mpaka alikojiunga.

Itakuwa ni mpango uliosukwa kwa muda mrefu ili kudhoofisha upinzani.
MUDA UTAHUKUMU
 
Hii ninaiunga mkono.
Nilianza kupata mashaka na membe pale alitaka coarition ya upinzani ndipo agombee urais

Ninapata shaka sna kuanzia pale kwenye kuvuja kwa sauti ya kina kinana.
Mpaka alikojiunga.

Itakuwa ni mpango uliosukwa kwa muda mrefu ili kudhoofisha upinzani.
MUDA UTAHUKUMU
BROTHER MMOJA mwenye cheo juu kidogo TISS aliwahi kuniuliza swali ambalo hajataka nimjibu.
Aliniuliza hivi kwa nini Lowasa katika miaka 4 yote ndani ya upinzani hakuwahi kutoa siri hata moja ya serikali?
 
BROTHER MMOJA mwenye cheo juu kidogo TISS aliwahi kuniuliza swali ambalo hajataka nimjibu.
Aliniuliza hivi kwa nini Lowasa katika miaka 4 yote ndani ya upinzani hakuwahi kutoa siri hata moja ya serikali?
Hakuwahi kuvaa hats tshirt za chadema
 
Back
Top Bottom