Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe ndiye atakayesababisha CCM waingie Ikulu kiulaini 2020

Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe ndiye atakayesababisha CCM waingie Ikulu kiulaini 2020

Hata mkiungana kipigo kiko palepale tu wala si mambo ya probability hiyo ni actuality.

Hivi huwa mpo Tanzania hii hii kweli au ni diaspora mnaoisoma Tz kupitia Jf na Instagram pekee.

Actuality ya Mizwenge ya NEC lakini sio actuality ya Ballot box.
 
Tizama nd
Kwahiyo unemployment rate ina uwiano sawia kati ya kipindi cha Jk na jpm?
Tizama ndugu yangu ukitaka kulinganisha kipindi cha JK na JPM kuhusu ajira kwa kuangalia unemployment rate utahitaji pia kuangalia population utahitaji kuangalia number of graduates utatakiwa pia kuangalia labour market , utatakiwa kuangalia investments, inflation na employment opportunities. Angalia mfano mimi nilipomaliza sekondari 1969 kabla ya kumaliza tuliletewa fomu za kuchagua kazi nafasi sita yaani upo shule unategemea kuhitimu unaletewa nafasi za kazi sasa unataka kuniambia Mwinyi, Mkapa na Jk wote ni bure kwa nini hawakuendelea na mtindo huo. Acheni chuki binafsi kwa JPM unemployment ipo duniani kote. Kinacotakiwa vijana wasome sana hasa masomo ya sayansi ili tukianza kuchimba mafuta tuwe na wataalamu wa kutosha na pia tukijenga vinu vya nyuklia vitatoa ajira nyingi sana
 
Adui yako mpoteze, before CCM walijua adui yao ni CDM tu. Ila sasa hawajui wamvunje miguu nani kati ya CDM ama ICT.

Usijali ukombozi ushafika, ukomo ya CCM tayari.

Na dalili ya kwanza kujua CCM imegota ni wao kujaza wajinga wengi kugombea ubunge.
 
Tizama nd

Tizama ndugu yangu ukitaka kulinganisha kipindi cha JK na JPM kuhusu ajira kwa kuangalia unemployment rate utahitaji pia kuangalia population utahitaji kuangalia number of graduates utatakiwa pia kuangalia labour market , utatakiwa kuangalia investments, inflation na employment opportunities. Angalia mfano mimi nilipomaliza sekondari 1969 kabla ya kumaliza tuliletewa fomu za kuchagua kazi nafasi sita yaani upo shule unategemea kuhitimu unaletewa nafasi za kazi sasa unataka kuniambia Mwinyi, Mkapa na Jk wote ni bure kwa nini hawakuendelea na mtindo huo. Acheni chuki binafsi kwa JPM unemployment ipo duniani kote. Kinacotakiwa vijana wasome sana hasa masomo ya sayansi ili tukianza kuchimba mafuta tuwe na wataalamu wa kutosha na pia tukijenga vinu vya nyuklia vitatoa ajira nyingi sana
Nyie si ndiye mliokuwa mnapiga promo watu wasomee mambo ya gas & petroleum. Na udhamini mkautoa leo hii wengi wao wapo tu baada ya kutoka China!!
 
Tizama nd

Tizama ndugu yangu ukitaka kulinganisha kipindi cha JK na JPM kuhusu ajira kwa kuangalia unemployment rate utahitaji pia kuangalia population utahitaji kuangalia number of graduates utatakiwa pia kuangalia labour market , utatakiwa kuangalia investments, inflation na employment opportunities. Angalia mfano mimi nilipomaliza sekondari 1969 kabla ya kumaliza tuliletewa fomu za kuchagua kazi nafasi sita yaani upo shule unategemea kuhitimu unaletewa nafasi za kazi sasa unataka kuniambia Mwinyi, Mkapa na Jk wote ni bure kwa nini hawakuendelea na mtindo huo. Acheni chuki binafsi kwa JPM unemployment ipo duniani kote. Kinacotakiwa vijana wasome sana hasa masomo ya sayansi ili tukianza kuchimba mafuta tuwe na wataalamu wa kutosha na pia tukijenga vinu vya nyuklia vitatoa ajira nyingi sana

Vijana wasome masomo ya sayansi ili TUKIANZA KUCHIMBA MAFUTA , TUKIJENGA VINU VYA NYUKLIA ndio solution seriously 😰😰 !!!!....
 
Tatizo zitto anawaza ruzuku tu ila pombe kichapo kiko pale pale.
 
Tizama nd

Tizama ndugu yangu ukitaka kulinganisha kipindi cha JK na JPM kuhusu ajira kwa kuangalia unemployment rate utahitaji pia kuangalia population utahitaji kuangalia number of graduates utatakiwa pia kuangalia labour market , utatakiwa kuangalia investments, inflation na employment opportunities. Angalia mfano mimi nilipomaliza sekondari 1969 kabla ya kumaliza tuliletewa fomu za kuchagua kazi nafasi sita yaani upo shule unategemea kuhitimu unaletewa nafasi za kazi sasa unataka kuniambia Mwinyi, Mkapa na Jk wote ni bure kwa nini hawakuendelea na mtindo huo. Acheni chuki binafsi kwa JPM unemployment ipo duniani kote. Kinacotakiwa vijana wasome sana hasa masomo ya sayansi ili tukianza kuchimba mafuta tuwe na wataalamu wa kutosha na pia tukijenga vinu vya nyuklia vitatoa ajira nyingi sana
Kama umemaliza shule 1969 na umetoa hoja ya namna hii basi tatizo la taifa hili ni kubwa kuliko tunavyodhani.
 
Vijana wasome masomo ya sayansi ili TUKIANZA KUCHIMBA MAFUTA , TUKIJENGA VINU VYA NYUKLIA ndio solution seriously [emoji27][emoji27] !!!!....
Halafu kajinasibu kuwa yeye ni mzee mwanafunzi wa 1969.[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom