antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Membe akikubali asigombee, amsapoti Lissu, saa 3 asbh sisiemu kinageuka chama cha upinzaniJiwe katikati ya lissu na Membe hachomoki namwona akiambulia nafasi ya tatu, usukani ukinyongwa na lissu baba lao!
Mkuu, upo darasa la ngapi?!Hivi Magufuli kasababishaje tatizo la ajira?
Au tunamtumia baada ya kuzikosa sababu tu za tatizo la ajira. Maana tatizo la ajira nchi hii lipo toka enzi za JK.
Tumesahau kabla ya Magufuli kuanza kutawala mzee Lowassa alikuwa analalamikia bomu litakalolipuka? Ajira ni tatizo la Dunia na karibia kila nchi inahangaika na ajira.
Teh teh teh... hata mi nimeshangaaKama umemaliza shule 1969 na umetoa hoja ya namna hii basi tatizo la taifa hili ni kubwa kuliko tunavyodhani.
Na Misukule ya CCM je ?Kwa Misukule ya CHADEMA, Mbowe ni yesu hajawahi kukosea.
Atalaumiwa kila mtu isipokuwa Mbowe
Mimi si mwandishi mzuri,ni mvivu kuandika mambo kwa undani. Nitaandika short & clear.
Ndani ya miaka 5 ya uongozi wa Mh. Magufuli Watanzania kama wafanyabiashara, watumishi wa umma na watumishi wa sekta binafsi, wakulima wa mazao mbalimbali wamepitia kipindi kigumu.
Hata wananchi wa kawaida nao wamekuwa wakiushangilia utawala wa Mh. Magufuli kwa mihemko tu lakini hali zao zimekuwa ngumu.
Karibu kila ukoo au familia wameshuhudia ndugu au watoto wao wakiishia kuwa jobless baada ya kukosa ajira.
Classmates wangu wa advance ambao karibu 98 % walihitimu shahada ya kwanza 2016 na 2017 wengi hawako ktk ajira rasmi. Wanasubiri miujiza.
Uchaguzi mkuu wa October 25 ,2020 ndio ulikuwa wa kumnyima kura za ndio Mheshimiwa Magufuli na kumpa Mh.Tundu Lissu au mpinzani yeyote aliye thabiti.
Sasa Mh. Zitto Kabwe anapotaka kutuletea huyu Mh. Membe anakwenda kuzigawa kura za upinzani na kuifanya CCM iendelee kututawala bila ridhaa yetu.
Membe (mgeni) karibu upinzani ila nafasi ya kugombea Urais hustahili kwasasa, labda miaka 5 ijayo.
Hatutaki ya Lowasa, si kwamba una uchungu sana na Watanzania bali unauchungu na ndoto zako za kuwa Rais ambazo zilizimwa na wamafia kule Dodoma 2015.
Mimi si mwandishi mzuri,ni mvivu kuandika mambo kwa undani. Nitaandika short & clear.
Ndani ya miaka 5 ya uongozi wa Mh. Magufuli Watanzania kama wafanyabiashara, watumishi wa umma na watumishi wa sekta binafsi, wakulima wa mazao mbalimbali wamepitia kipindi kigumu.
Hata wananchi wa kawaida nao wamekuwa wakiushangilia utawala wa Mh. Magufuli kwa mihemko tu lakini hali zao zimekuwa ngumu.
Karibu kila ukoo au familia wameshuhudia ndugu au watoto wao wakiishia kuwa jobless baada ya kukosa ajira.
Classmates wangu wa advance ambao karibu 98 % walihitimu shahada ya kwanza 2016 na 2017 wengi hawako ktk ajira rasmi. Wanasubiri miujiza.
Uchaguzi mkuu wa October 25 ,2020 ndio ulikuwa wa kumnyima kura za ndio Mheshimiwa Magufuli na kumpa Mh.Tundu Lissu au mpinzani yeyote aliye thabiti.
Sasa Mh. Zitto Kabwe anapotaka kutuletea huyu Mh. Membe anakwenda kuzigawa kura za upinzani na kuifanya CCM iendelee kututawala bila ridhaa yetu.
Membe (mgeni) karibu upinzani ila nafasi ya kugombea Urais hustahili kwasasa, labda miaka 5 ijayo.
Hatutaki ya Lowasa, si kwamba una uchungu sana na Watanzania bali unauchungu na ndoto zako za kuwa Rais ambazo zilizimwa na wamafia kule Dodoma 2015.
Jiwe katikati ya lissu na Membe hachomoki namwona akiambulia nafasi ya tatu, usukani ukinyongwa na lissu baba lao!
Wewe mjinga umetafuta wa kulaumu, unaomba po mapema hivi?
Kabla ya CDM kulikuwa na NCCR na CDM hawakuwahi kuwaza kutokukua au kupaa juu kwa sababu ya NCCR
CCM ina manguvu mno kwa sasa na upinzani uko weak mno
Kweli umekosa cha kuandika na akili yako maridhawa hata kama umekulia kama chokoraa, umeona wa kulaumiwa ni zitto???
Hamjakoma kumzushia na kumlaumu huyu mtu ambaye ame prove kusimama imara nyakati ngumu kabisa hizi za upinzani??
Kuwa na huruma
Nilitoa google.Mimi naomba majibu, hivi hiyo avatar umeitoa wapi?
Hii ninaiunga mkono.Mimi si mwandishi mzuri,ni mvivu kuandika mambo kwa undani. Nitaandika short & clear.
Ndani ya miaka 5 ya uongozi wa Mh. Magufuli Watanzania kama wafanyabiashara, watumishi wa umma na watumishi wa sekta binafsi, wakulima wa mazao mbalimbali wamepitia kipindi kigumu.
Hata wananchi wa kawaida nao wamekuwa wakiushangilia utawala wa Mh. Magufuli kwa mihemko tu lakini hali zao zimekuwa ngumu.
Karibu kila ukoo au familia wameshuhudia ndugu au watoto wao wakiishia kuwa jobless baada ya kukosa ajira.
Classmates wangu wa advance ambao karibu 98 % walihitimu shahada ya kwanza 2016 na 2017 wengi hawako ktk ajira rasmi. Wanasubiri miujiza.
Uchaguzi mkuu wa October 25 ,2020 ndio ulikuwa wa kumnyima kura za ndio Mheshimiwa Magufuli na kumpa Mh.Tundu Lissu au mpinzani yeyote aliye thabiti.
Sasa Mh. Zitto Kabwe anapotaka kutuletea huyu Mh. Membe anakwenda kuzigawa kura za upinzani na kuifanya CCM iendelee kututawala bila ridhaa yetu.
Membe (mgeni) karibu upinzani ila nafasi ya kugombea Urais hustahili kwasasa, labda miaka 5 ijayo.
Hatutaki ya Lowasa, si kwamba una uchungu sana na Watanzania bali unauchungu na ndoto zako za kuwa Rais ambazo zilizimwa na wamafia kule Dodoma 2015.
BROTHER MMOJA mwenye cheo juu kidogo TISS aliwahi kuniuliza swali ambalo hajataka nimjibu.Hii ninaiunga mkono.
Nilianza kupata mashaka na membe pale alitaka coarition ya upinzani ndipo agombee urais
Ninapata shaka sna kuanzia pale kwenye kuvuja kwa sauti ya kina kinana.
Mpaka alikojiunga.
Itakuwa ni mpango uliosukwa kwa muda mrefu ili kudhoofisha upinzani.
MUDA UTAHUKUMU
Hakuwahi kuvaa hats tshirt za chademaBROTHER MMOJA mwenye cheo juu kidogo TISS aliwahi kuniuliza swali ambalo hajataka nimjibu.
Aliniuliza hivi kwa nini Lowasa katika miaka 4 yote ndani ya upinzani hakuwahi kutoa siri hata moja ya serikali?
Mtihani kwelikweliHakuwahi kuvaa hats tshirt za chadema
Za ccm ndio zitamfata Membe Ila za chadema zipo pale pale hayopo anaye mwamini Membe...hadi wakati huu kura za upinzani zimegawika na CCM haooo kiulaini Ikulu.