Zitto Kabwe: Ndoto yangu ni kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Zitto Kabwe: Ndoto yangu ni kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
Hata MWANDIGA hatumpi hata udiwani
 
Zitto ni kiongozi makini Sana na anafaa kwa nafasi ya urais...tatizo chadema na sukuma gang Wana chuki binafsi kama za mwenda zake...
 
Ccm wameharibu nafasi ya urais, wameifanya ionekane ni rahisi tu.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025

“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.

“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto


Video: Mwananchi
Hana kosa bali ni NDOTO na hivyo muacheni aendelee kuota tu.
 
Udini wa zitto ni upi?
Huuoni? Anakemea nini kwa sasa? Nini kinamsukuma, Motivation yake? Yote yanayofanyika sasa awamu hii ni mazuri?

Unafikiri JPM angefanya haya yanayofanyika sasa awamu ya sita angekuwa kimya, ameacha kudai katiba mpya sasa, mikutano huru nk.

Sababu ni ipi? Fungua macho.
 
Rais??

1. MKE wa AHMED MPAKANJIA

2. MKE wa DEO FILIKUNJOMBE

3. MTOTO WA BULEMBO (Mzee mwenye chuki ya wazi na MAGUFULI) HALIMA BULEMBO
 

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025

“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.

“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto


Video: Mwananchi
Zitto hata akigombea na Msigwa au Sugu au Wenje bado watamshinda idadi ya Kura
 
Rais??

1. MKE wa AHMED MPAKANJIA

2. MKE wa DEO FILIKUNJOMBE

3. MTOTO WA BULEMBO (Mzee mwenye chuki ya wazi na MAGUFULI) HALIMA BULEMBO
Ukiambiwa uthibitishe pasina shaka ...utatoa uthibitisho?au ni maneno tu ya vijiweni?..
 
Jamiiforams siku hizi inashushwa hadhi na watu kama nyinyi ...hivi kama huna hoja ukipita kimya kimya Kuna shida?
Tusubishane hebu niambie ACT Kwa huku Tanganyika inaweza kushinda Jimbo gani
 
Back
Top Bottom