NUMAN
JF-Expert Member
- Sep 3, 2019
- 807
- 1,164
Udini wa zitto ni upi?Hadi huyu , mchumia tumbo, mtu asiye na msimamo, mdini, mpuuzi naye anataka kuwa Rais? Labda Rais wa Ujiji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udini wa zitto ni upi?Hadi huyu , mchumia tumbo, mtu asiye na msimamo, mdini, mpuuzi naye anataka kuwa Rais? Labda Rais wa Ujiji.
Hata MWANDIGA hatumpi hata udiwaniHahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
Mnaweza kweli kutuletea huyu.....maana siyo wa kimchezomchezo ninyi Wakuu!Namuunga mkono
P
Naunga Mkono swali.Udini wa zitto ni upi?
Hana kosa bali ni NDOTO na hivyo muacheni aendelee kuota tu.
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025
“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.
“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Video: Mwananchi
Huuoni? Anakemea nini kwa sasa? Nini kinamsukuma, Motivation yake? Yote yanayofanyika sasa awamu hii ni mazuri?Udini wa zitto ni upi?
Zitto hata akigombea na Msigwa au Sugu au Wenje bado watamshinda idadi ya Kura
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025
“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.
“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Video: Mwananchi
Ukiambiwa uthibitishe pasina shaka ...utatoa uthibitisho?au ni maneno tu ya vijiweni?..Rais??
1. MKE wa AHMED MPAKANJIA
2. MKE wa DEO FILIKUNJOMBE
3. MTOTO WA BULEMBO (Mzee mwenye chuki ya wazi na MAGUFULI) HALIMA BULEMBO
Una ushahidi ? Au ni maneno ya kwenye kanga?Zitto ni MCHAWI na MSALITI.
Jamiiforams siku hizi inashushwa hadhi na watu kama nyinyi ...hivi kama huna hoja ukipita kimya kimya Kuna shida?Zitto hata akigombea na Msigwa au Sugu au Wenje bado watamshinda idadi ya Kura
Tusubishane hebu niambie ACT Kwa huku Tanganyika inaweza kushinda Jimbo ganiJamiiforams siku hizi inashushwa hadhi na watu kama nyinyi ...hivi kama huna hoja ukipita kimya kimya Kuna shida?