Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Tutapanga wakati Jamaa akiwa kwenye nondo za The Hague anachunguliaMmeshamaliza kupanga baraza la mawaziri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutapanga wakati Jamaa akiwa kwenye nondo za The Hague anachunguliaMmeshamaliza kupanga baraza la mawaziri?
Yani wapinzani wamechanganyikiwa alafu kuna zile za ndani kuwa mgombea wao na mwenyekiti wake hawaelewani kisa wamedhulumiana pesaKwa mikakati ipi?
Hii hii ya ACT na chadema?
😂😂😂 poleni sana yani uchaguzi huu magufuli atagalagaza yule kilema kwa kura nyingi sana tena za kishindo alafu mumtafutie kazi ya kufanya baada ya uchaguzi asije kua ombaombaUkiona uzi umevamiwa na CCM na wanaponda sana ujue kisu kimeingia kwenye mfupa wanaumia sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tayari bundi ametua huko upinzani, vipi kujusu membe yeye si alichukua fomu ya kugombea uraisi kupitia ACT wazalendo sasa huyu watakae muunga mkono tofauti na membe ni nani, kwaiyo uwekezaji wa membe kwa ACT ni bure kabisa au ndio wameamua kumchinjia baharini
Hayo ndiyo manenoKiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo , Zitto Kabwe amesema vyama vya upinzani nchini vimekubaliana kumuunga mkono Mgombea mmoja wa Urais wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania na pia, kwa upande wa Zanzibar.
Zitto ameongeza kuwa Oktoba 3, 2020 watatangaza ni nani hasa atasimama kama Mgombea Urais katika mkutano wa hadhara utakaohusisa CHADEMA, ACT Wazalendo na vyama vingine vya upinzani.
Amesema ACT-Wazalendo wameshajadiliana na wameshawasilisha mapendekezo yao kwa CHADEMA na baada ya pande zote kukamilisha mazungumzo watatangaza makubaliano yatakayofikiwa.
Hizzo ndoto amkeniTutapanga wakati Jamaa akiwa kwenye nondo za The Hague anachungulia
Wamemchinjia baharini siasa hizi kweli hazina muamana usisahau kumpigia kura yako mh magufuli maana yeye anatufufaa hawa wengine ni janja janja View attachment 1577547
Hakuna 50/50 ipo wazi kabisa magufuli anashinda kwa kishindo kikali sana..subiri October 3.
..inawezekana Tundu Lissu ndio atakayechinjiwa baharini.
..it is still 50/50.
Hizo kejeli za kumwita mwingine kilema utaziacha tu ngoja uumie au ndugu wa karibu apate na ajali ,hiyo sasa hivi ni kiburi ya uzima inakusumbua[emoji23][emoji23][emoji23] poleni sana yani uchaguzi huu magufuli atagalagaza yule kilema kwa kura nyingi sana tena za kishindo alafu mumtafutie kazi ya kufanya baada ya uchaguzi asije kua ombaomba
Huo ni mtazamo wakoPorojo tu!
Rais ni JPM hizi nyingine ni sarakasi za watoto
Huo ni mtazamo wako na kila mtu anaruhusiwa kuwa na mtazamo wakeWamemchinjia baharini siasa hizi kweli hazina muamana usisahau kumpigia kura yako mh magufuli maana yeye anatufufaa hawa wengine ni janja janja View attachment 1577547
🤣🤣 Mkuki kwa nguruwe sio, jamaa alidhulumu watu ndio maana wakaamua kumshughulikia sema kwakuwa mshkaji mwanasiasa ameamua kuisingizia serikali kwaiyo kile kilema amejitakiaHizo kejeli za kumwita mwingine kilema utaziacha tu ngoja uumie au ndugu wa karibu apate na ajali ,hiyo sasa hivi ni kiburi ya uzima inakusumbua
Mwaka huu mtapoteana mmebaki kuropoka ,kazi mnayo labda awe chief wa wasukuma siyo urais[emoji1787][emoji1787] mkuki kwa nguruwe sio, jamaa alidhulumu watu ndio maana wakaamua kumshughulikia sema kwakuwa mshkaji mwanasiasa ameamua kuisingizia serikali kwaiyo kile kilema amejitakia
Kwani lazima utukane sema wa kwakoWewe pimbi unatuamulia kama nani wakati kura bado
Jpm maji yanefika shingoniPicha hii na vedio ya leo nimecheka mpaka wanangu wananishangaa ,hii ndo ilitakiwa kuwa kwenye mabango nchi nzima ,jpm Leo katoa mpya ,