Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyi ndivyo ulivyo agizwa kuja kujibi hoja na Bashiru??Upinzani mnahangaika kama binti malaya
Muungano wa Sasa sio wa kisheria hivyo NEC haina kizuizi. Muungano wao sio wa mkataba.NEC wametoa statement kuwatisha Act-wazalendo.
Hakuna 50/50 ipo wazi kabisa magufuli anashinda kwa kishindo kikali sana
Mitandao sio ya kuamini kilicho mkuta Mange kimemkuta Membe na kinaenda kumkuta LisuMembe alidanganywa na maneno ya mitandaoni eti kachero!
Yani Membe alivimba kichwa akajiona kabisa yeye ni mkubwa kuliko tz
Wamemchinjia baharini siasa hizi kweli hazina muamana usisahau kumpigia kura yako mh magufuli maana yeye anatufufaa hawa wengine ni janja janja View attachment 1577547
Ndoto hizoTutapanga wakati Jamaa akiwa kwenye nondo za The Hague anachungulia
Sometimes inabidi kwa vilaza kama nyeKwani lazima utukane sema wa kwako
Tayari bundi ametua huko upinzani, vipi kujusu membe yeye si alichukua fomu ya kugombea uraisi kupitia ACT wazalendo sasa huyu watakae muunga mkono tofauti na membe ni nani, kwaiyo uwekezaji wa membe kwa ACT ni bure kabisa au ndio wameamua kumchinjia baharini
Mkuu ukisikia Membe ana muunga mkono Lisu atakuwa bado siyo mpinzani?Membe sio mpinzani, ni bosheni la ccm. Bahati nzuri wapinzani wameshamstukia. Kosa la Lowassa safari hii tumegoma kulirudia.
Yule yuko kufurahisha genge tuUmejuaje labda mzee wa ubwabwa nae amejadiliana nao na ndo atakayetangazwa
Mjanja lyatonga tuu😃😃😃Hata kama wataungana na wabeligi wa Lissu kuushinda CCM ni mwiko
Mjanja lyatonga tuu😃😃😃Hata kama wataungana na wabeligi wa Lissu kuushinda CCM ni mwiko
Siyo ACT wazalendo tuu.mkurugenzii wa tume ameagizwaa ushindi wa JPM usipunguwe asilimia 90 %NEC wametoa statement kuwatisha Act-wazalendo.
Mtakoma mwaka huu. Kila mti mkishika unateleza tu. Kwahiyo sasa hivi mataga mnataka Membe aendelee? Watu wana jambo lao Oktoba 28. Nyie tulieni muwe watazamaji.Tayari bundi ametua huko upinzani, vipi kujusu membe yeye si alichukua fomu ya kugombea uraisi kupitia ACT wazalendo sasa huyu watakae muunga mkono tofauti na membe ni nani, kwaiyo uwekezaji wa membe kwa ACT ni bure kabisa au ndio wameamua kumchinjia baharini
Siyo ACT wazalendo tuu.mkurugenzii wa tume ameagizwaa ushindi wa JPM usipunguwe asilimia 90 %