Tunakaa nate kwa jicho pevu( eye open) hii sio ukawa ya 2015Kwahiyo Membe akianza kukaa meza moja na Lisu kwenye kampeni utamuonaje Membe na chadema kwa ujumla?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakaa nate kwa jicho pevu( eye open) hii sio ukawa ya 2015Kwahiyo Membe akianza kukaa meza moja na Lisu kwenye kampeni utamuonaje Membe na chadema kwa ujumla?
Upinzani wa hivi wenye akili tunauona ni wa kihuni tuTunakaa nate kwa jicho pevu( eye open) hii sio ukawa ya 2015
Kwahiyo Membe akianza kukaa meza moja na Lisu kwenye kampeni utamuonaje Membe na chadema kwa ujumla?
Upinzani wa hivi wenye akili tunauona ni wa kihuni tu
Keshajulikana na watanzania wamemfurahiaKiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo , Zitto Kabwe amesema vyama vya upinzani nchini vimekubaliana kumuunga mkono Mgombea mmoja wa Urais wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania na pia, kwa upande wa Zanzibar...
Hivi Ukawa au chadema waliwahi kukiri kuwa walikosea kwa Lowassa?
Hahaha wamejira, We go with Tundu LissuMmeshamaliza kupanga baraza la mawaziri?
Hivi nyinyi wapenda CCM mnaishi dunia ya wapi? Kila mtu analia hali ngumu, najua nanyi mnalia, ila kwa vimaslahi vidogo mnavyopewa ambavyo vitayeyuka tu baada ya uchaguzi, mnapiga piga kelele weee, eti CCM oye!!Nakuamulia mimi na wanachama wenzangu wa chama cha mapinduzi pamoja na watz kwa ujumla! Nyie bavicha endeleeni kumshsrehesha huyo kibaraka wenu wa Amsterdam.
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo , Zitto Kabwe amesema vyama vya upinzani nchini vimekubaliana kumuunga mkono Mgombea mmoja wa Urais wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania na pia, kwa upande wa Zanzibar...
Basi bado tuna safari ndefu sana.Kwenye siasa hasa za waafrika ni nadra kukiri kosa, jambo utendaji ndio huonyesha kukiri kosa.
Pigia mstariTayari bundi ametua huko upinzani, vipi kujusu membe yeye si alichukua fomu ya kugombea uraisi kupitia ACT wazalendo sasa huyu watakae muunga mkono tofauti na membe ni nani, kwaiyo uwekezaji wa membe kwa ACT ni bure kabisa au ndio wameamua kumchinjia baharini
Wapinzani tunapaswa kulinda tu kura zetu manake kama ni kushinda kwa kura tayari hilo lipo dhahiri.Nakuamulia mimi na wanachama wenzangu wa chama cha mapinduzi pamoja na watz kwa ujumla! Nyie bavicha endeleeni kumshsrehesha huyo kibaraka wenu wa Amsterdam.
Umepewa fulana ya CCM imepauka basi unajiona ni wewe tu.Nakuamulia mimi na wanachama wenzangu wa chama cha mapinduzi pamoja na watz kwa ujumla! Nyie bavicha endeleeni kumshsrehesha huyo kibaraka wenu wa Amsterdam.
Porojo tu!
Rais ni JPM hizi nyingine ni sarakasi za watoto