Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Oktoba 3 tutatangaza Mgombea wa Urais atakayewakilisha Upinzani

Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Oktoba 3 tutatangaza Mgombea wa Urais atakayewakilisha Upinzani

Una mahaba ya kipumbavu kweli wewe kubwa jinga. Kwani wewe ni nani nchi hii mpaka useme kuishinda ccm ni mwiko? Wewe si una kura moja tu? Lolote linaweza kutokea. Watanzania tumechoka na kunyanyasika kwenye nchi yetu. Tunataka uhuru na haki.
Duh....aisee...self defeating opinion..kumtukana mwenzio bila hoja...wewe ni Nani kusema CCM itashindwa?! Yeye ametoa maoni yake kwa hiyo huna mamlaka ya kumtaka afikiri Kama wewe kwamba CCM haitashinda...halafu ukisema watanzania tumechoka kunyanyasika katika nchi yetu ni uongo.

pengine umechoka wewe na wenzio wachache kwa mnachoona mnanyanyaswa...lakini wako Watanzania wengi kwa mamilioni ambao wataipa kura CCM na hwajaichoka CCM...matusi mnayotumia mitandaoni hayawezi kuwazuia watu wasiipigie kura CCM...Kati ya wapiga kura milioni 29 CCM itapata kura zaidi ya milioni 25 Kama wote watapiga kura.

wapinzani ukiwemo wewe mtagawana hizo milioni 4....hata Askari wa Marekani na Ubelgiji wakija kulinda kura CCM itashinda kwa kishindo...huu ndio ukweli mchungu kwenu ninyi wapenda mabeberu...Watanzania hawawezi kufanya kosa kuwapa ridhaa ya kuongoza nchi watu wa upinzani mnaotaka kuleta utawala wa majimbo Tanzania na hivyo kuigawa nchi...nasubiri matusi kutoka kwako na wenzio wa aina yako...
 
ZITTO NA UPIZANI KWA UJUMLA MNAJUAGA JINSI YA KULA ZA HAWA
AZEE WA CCM NA MKIWAMALIZA MNAWATUPILIA MBALI.

MFANO HAI NI HUU KWAMBA MEMBE ILE PESA ALIYOIFUATA KWA MEREY BARABOUH DUBAI IMEKWAMIA KUKAMATWA SO MNAJUA HANA KITU TENA

MEMBE NI SIKIO LA KUFA, HUWA ALISIKI DAWA.
 
Membe namkubali sana tuliomfatilia tangu mwanzo tunamuelewa siku ya kukabidhiwa ilani alisema wazi kuhusu ushirikiano wao bila kuungana tatizo naona Kuna watu wanataka kuweka ushabiki wa kitoto unaochekesha wakati kwa macho unaona mtu amepiga pozi na muda umeisha. Tunaolewa mtu wa mipango na siyo maneno tunamuelewa sana BM nakumkubali na jina alilojipachika linamfaa Sana cause analitendea haki hayumbishwi na kelele.
 
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo , Zitto Kabwe amesema vyama vya upinzani nchini vimekubaliana kumuunga mkono Mgombea mmoja wa Urais wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania na pia, kwa upande wa Zanzibar...
Well said that is what we are waiting for
 
Duh....aisee...self defeating opinion..kumtukana mwenzio bila hoja...wewe ni Nani kusema CCM itashindwa?! Yeye ametoa maoni yake kwa hiyo huna mamlaka ya kumtaka afikiri Kama wewe kwamba CCM haitashinda.
Cheki ulivyo kilaza. Kwa hiyo kuwa na mikoa nchi iligawanywa?
 
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo , Zitto Kabwe amesema vyama vya upinzani nchini vimekubaliana kumuunga mkono Mgombea mmoja wa Urais wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania na pia, kwa upande wa Zanzibar...
CCM hoyeeeee nimefurahi sanaaaa
 
1. Huu Muungano hauna Madhara kama ilivyokuwa Muungano wa UKAWA.

2. Wafuasi wa ACT-walimeguka kutoka CHADEMA 2015, Wengi wao hawatakubali kula matapishi yao kwa sababu tu ZITTO amewasaliti, badala yake watampigia kura Jembe JPM.

3. Wana CUF waliompigia kura Lowassa mwaka 2015, wengi watampigia kura JPM , wachache watampigia Lipumba.

4. Kuna watu hawakuwa na Chama 2015 lakini kwa mahaba tu walimpigia kura Lowassa, hao mahaba yao watayaonesha kwa JPM 28/10/2020.

5. Wana CCM waliokuwa wanadhaniwa kumfuata Membe hapana shaka wameshaona ACT ni wazushi, watarejea CCM kwa kishindo.

6. Kwa kazi nzuri ambayo JPM amefanya kwa kipindi cha miaka 5, asilimia kubwa ya wapiga kura wa upinzani wakiwemo CHADEMA, Kura ya Urais kwa JPM, kura ya Mbunge labda ndo itakwenda kwa Mgombea wa Chama husika.

UNGANENI HARAKA MAGUFULI AMALIZE KAZI

#JPM5TENA
 
Why now Zitto too little to late. You thought Membe will be more appealing to Tanzanians as compared to Lissu. Now you have realized that you’re very wrong. Just save your energy and let Membe continue with his special assignment to form the next cabinet of URT.

Acha chuki zako zisizo na msingi kwa Zitto na ACT. Wamejitahidi kimkakati kutogawanya kura. Ndio maana Membe hajaenda na viongozi wa ACT kuomba kura sehemu ambazo ACT inanguvu kubwa kama Kigoma, Mtwara, Tanga, Pemba na Zanzbar. Lissu ni " genious" (sio mbinafsi kama baadhi ya viongozi na wapambe wa Chadema). Lissu anajua umuhimu wa huu ushirikiano ili kupata ushindi ulio wazi hiyo 28 October 2020.
 
Duuuh...kweli maisha kibidu!ina maana hakuna tena kazi na bata? Aghhhhhhhhh!
 
Ila wakifanya hvo bas ni ile tunaita at right track,kwa maana itakuwa rais kwa wanachama wa ICT kukubali kwa sababu mgombea wao tyar hana nguvu kiufupi n wazo zuri sana
 
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema vyama vya Upinzani nchini vimekubaliana kumuunga mkono Mgombea mmoja wa Urais wa Jamuhuri ya Muungano Tanzania na pia, kwa upande wa Zanzibar...
Kwani akimuunga mkono kura zitakuwa zinajumulishwa kama za ukawa?
 
Back
Top Bottom