Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Uchaguzi 2020 - Ukweli Mchungu: CCM is too complicated kwa Vyama vyetu vya Upinzani
ACT Wazalendo imekufa kabla ya uchaguzi kuisha
Hili game ni la CCM na CHADEMA kwa Mbali
Ukitoa jimbo la Zitto ni Jimbo gani chadema watawaachia ACT. Ila Hivi vyama vya upinzani, ukiwauliza akina Abdul Nondo mambo ya msingi wanaleta ujuaji mwingi kumbe akili sifuri
😀😀😀😀
ACT Wazalendo imekufa kabla ya uchaguzi kuisha
Hili game ni la CCM na CHADEMA kwa Mbali
Ukitoa jimbo la Zitto ni Jimbo gani chadema watawaachia ACT. Ila Hivi vyama vya upinzani, ukiwauliza akina Abdul Nondo mambo ya msingi wanaleta ujuaji mwingi kumbe akili sifuri
😀😀😀😀
