Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Oktoba 3 tutatangaza Mgombea wa Urais atakayewakilisha Upinzani

Ukiona uzi umevamiwa na CCM na wanaponda sana ujue kisu kimeingia kwenye mfupa wanaumia sana.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukiona uzi umevamiwa na CCM na wanaponda sana ujue kisu kimeingia kwenye mfupa wanaumia sana.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂 poleni sana yani uchaguzi huu magufuli atagalagaza yule kilema kwa kura nyingi sana tena za kishindo alafu mumtafutie kazi ya kufanya baada ya uchaguzi asije kua ombaomba
 

..subiri October 3.

..inawezekana Tundu Lissu ndio atakayechinjiwa baharini.

..it is still 50/50.
 
Hayo ndiyo maneno
 
[emoji23][emoji23][emoji23] poleni sana yani uchaguzi huu magufuli atagalagaza yule kilema kwa kura nyingi sana tena za kishindo alafu mumtafutie kazi ya kufanya baada ya uchaguzi asije kua ombaomba
Hizo kejeli za kumwita mwingine kilema utaziacha tu ngoja uumie au ndugu wa karibu apate na ajali ,hiyo sasa hivi ni kiburi ya uzima inakusumbua
 
Hizo kejeli za kumwita mwingine kilema utaziacha tu ngoja uumie au ndugu wa karibu apate na ajali ,hiyo sasa hivi ni kiburi ya uzima inakusumbua
🤣🤣 Mkuki kwa nguruwe sio, jamaa alidhulumu watu ndio maana wakaamua kumshughulikia sema kwakuwa mshkaji mwanasiasa ameamua kuisingizia serikali kwaiyo kile kilema amejitakia
 
[emoji1787][emoji1787] mkuki kwa nguruwe sio, jamaa alidhulumu watu ndio maana wakaamua kumshughulikia sema kwakuwa mshkaji mwanasiasa ameamua kuisingizia serikali kwaiyo kile kilema amejitakia
Mwaka huu mtapoteana mmebaki kuropoka ,kazi mnayo labda awe chief wa wasukuma siyo urais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…