Zitto Kabwe pandikizi la Ccm linalotumika kuua upinzani, mwaka 2014 alitumika kuhujumu CHADEMA iliyokuwa karibu kukamata dola.

Zitto Kabwe pandikizi la Ccm linalotumika kuua upinzani, mwaka 2014 alitumika kuhujumu CHADEMA iliyokuwa karibu kukamata dola.

Kisichoeleweka ni kwamba mpinzania wa CHADEMA ni ACT au CCM.

Yani CHADEMA kuchwa kutwa kumtukana ZITTO, JE haiwezekani CHADEMA⁰P⁰

Lini msemaji wa CDM ametokea akamtukana Zito. Tenganisha CDM na mashabiki wa mitandaoni.
 
Wakati ule Dk Slaa alikuwa vizuri na sisi tulikubalika na ilikuwa lazima tukate Dola maana Ccm ilikuwa haikubaliki kabisa.

Kwa namna ya njaa ya siasa yake Zitto alitumika na Ccm kuivuruga Chadema ili CCM izidi kukamata dola.

My Take: Huyu mnafiki anapaswa kupigwa mawe hadharani. Kibaraka wa Ccm.
Sawa, tumekusikia kamanda usiechoka kwa hisani ya watu wa Lumumba!!!
 
Hivyo unavyo muona Zito ni asilimia 95 ya Viongozi wa upinzani wenye aina hii ya tabia ya Zito
 
Back
Top Bottom