johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
ACT Wazalendo ni Vyama viwiliZitto aache hadaa zake za kishamba,lini walikaa na wanachama wao kuwauliza kama waingie SUK au la? Hata Maalim Seif alikubali kwa shingo upande kwani zitto alikuwa ameshakubaliana na watawala na yeye ndiye mwenye chama chake. Ila siku si nyingi Wapemba watamfanya kitu mbaya.
Sasa wewe mpumbavu Chadema inahusika nini hapa?Chadema ni wapumbavu tena ni wajinga wangekuwa ni wao wamepewa ya kuunda suk wasingekataa! wivu wivu wivu, na roho mbaya kwa zzk, matamanio yenu ni kutaka zzk kila anachofanya asifanikiwe! mlijua mkimfukuza chadema atakuwa mburula sasa mmejigeuza kuwa wachawi, hakuna siasa takatifu hapa duniani nyinyi mna udwanzi kibao mnaleta unaaa hapa! mnaenda ikulu kufanya nini kama hamtaki maridhiano, zungumzieni mambo yenu sio kila jambo likitokea mnamnanga zitto! mlishindwa kuumfanya chochote akiwa kwenu !hata maneno yenu hayataweza kubadili chochote !
Kuna watu watakuja kulijua hili kwa kuchelewa Sana.Trust Zitto, and you will trust everyone!
Tena umoja upo Zanzibar wanaoenda kuulizwa ni Wana tunduru inaingia akilini kweli?Zitto anataka kutuambia kwamba maamuzi yao kujiunga SUK yalitokana na ridhaa ya wananchi wapi? wale waliopigwa mabomu ya machozi na kuchomewa nyumba zao kule Pemba au wengine?
Kama ni hao Zitto anatudanganya, sikuwahi kuona popote wale waathirika wa uchaguzi wa 2020 kama waliwahi kulipwa fidia ya madhila waliyofanyiwa, na kama Zitto na ACT walienda SUK ili kuwasemea wale waathirika, mpaka leo walikuwa wanafanya nini kule serikalini kama waathirika wale hawakupewa stahiki zao?
Ukweli ni kwamba, ule ndio ulikuwa wakati wa Zitto na ACT wenzake kurudi kwa wananchi na kuwaambia CCM wamegoma kuwalipa fidia, hivyo wajitoe SUK au vipi, lakini sio leo kurudi kwa wananchi kisa aliyeteuliwa na Mwinyi hawamtaki, wao wanawaza uchaguzi tu ili uwape vyeo vya kula, hawa wanaonesha jinsi walivyo selfish.
View attachment 2418431
"Suala la Rais Mwinyi kumteua mtu aliyehusika kuvuruga uchaguzi wa 2020 kuwa Mkurugenzi wa ZEC, HALIKUBALIKI. Tumeamua kurudi chini kwa Wanachama wetu. Ni wao waliotaka tuingie kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa, wao pia ndio watakao amua hili," kauli ya Zitto Kabwe akiwa Kata ya Mchoteka, Jimbo la Tunduru Kusini, Ruvuma.
Anasema: “Ziara hii ya Tunduru ilipaswa kufanywa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, lakini imebidi aongoze kikao cha Kamati Maalum ya Kamati Kuu ya ACT Wazalendo Zanzibar, Kujadili Suala ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Rais Mwinyi ameteua mtu aliyesimamia mauaji ya 2020, sisi tumeamua kurudi kwa Viongozi na Wanachama wetu ngazi ya Matawi, tutawaambia hali ilivyo, na watuambia la kufanya.”
Zitto baada ya vikao vya kikosi kazi anapiga story na Mahera fresh tu wanakunywa kahawa 😂Tunduru wanahusika nini na SMZ na Nchi ya Zanzibar?
Zitto anataka kutuambia kwamba maamuzi yao kujiunga SUK yalitokana na ridhaa ya wananchi wapi? wale waliopigwa mabomu ya machozi na kuchomewa nyumba zao kule Pemba au wengine?
Kama ni hao Zitto anatudanganya, sikuwahi kuona popote wale waathirika wa uchaguzi wa 2020 kama waliwahi kulipwa fidia ya madhila waliyofanyiwa, na kama Zitto na ACT walienda SUK ili kuwasemea wale waathirika, mpaka leo walikuwa wanafanya nini kule serikalini kama waathirika wale hawakupewa stahiki zao?
Ukweli ni kwamba, ule ndio ulikuwa wakati wa Zitto na ACT wenzake kurudi kwa wananchi na kuwaambia CCM wamegoma kuwalipa fidia, hivyo wajitoe SUK au vipi, lakini sio leo kurudi kwa wananchi kisa aliyeteuliwa na Mwinyi hawamtaki, wao wanawaza uchaguzi tu ili uwape vyeo vya kula, hawa wanaonesha jinsi walivyo selfish.
Fuatilieni historia ya Zitto vizuri kwani hamtajiumiza kuumiza kichwa juu yake.
Kwa ujumla Zitto hayuko mbali historia kujirudia kwa uzuri au kwa ubaya ila yy kama yy ameshajua kisiasa yuko wapi. Ndo maana anaishi hayo anayoyaishi kwani ndo njia aliyoiona itamfikisha mapema kumbe mwisho kiza
Ipi?Nadhani Ni muda Sasa CHADEMA iende ikainvest kwenye siasa za Zanzibar. Chadema misimamo yake inafahamika.
Chadema ni wapumbavu tena ni wajinga wangekuwa ni wao wamepewa ya kuunda suk wasingekataa! wivu wivu wivu, na roho mbaya kwa zzk, matamanio yenu ni kutaka zzk kila anachofanya asifanikiwe! mlijua mkimfukuza chadema atakuwa mburula sasa mmejigeuza kuwa wachawi, hakuna siasa takatifu hapa duniani nyinyi mna udwanzi kibao mnaleta unaaa hapa! mnaenda ikulu kufanya nini kama hamtaki maridhiano, zungumzieni mambo yenu sio kila jambo likitokea mnamnanga zitto! mlishindwa kuumfanya chochote akiwa kwenu !hata maneno yenu hayataweza kubadili chochote !
Zitto anafanya utapeli huko Kusini mwa TanzaniaTunduru wanahusika nini na SMZ na Nchi ya Zanzibar?
ACT acheni chokochoko, KAZI IENDELEE ✔️😂😂😂View attachment 2418431
"Suala la Rais Mwinyi kumteua mtu aliyehusika kuvuruga uchaguzi wa 2020 kuwa Mkurugenzi wa ZEC, HALIKUBALIKI. Tumeamua kurudi chini kwa Wanachama wetu. Ni wao waliotaka tuingie kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa, wao pia ndio watakao amua hili," kauli ya Zitto Kabwe akiwa Kata ya Mchoteka, Jimbo la Tunduru Kusini, Ruvuma.
Anasema: “Ziara hii ya Tunduru ilipaswa kufanywa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, lakini imebidi aongoze kikao cha Kamati Maalum ya Kamati Kuu ya ACT Wazalendo Zanzibar, Kujadili Suala ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Rais Mwinyi ameteua mtu aliyesimamia mauaji ya 2020, sisi tumeamua kurudi kwa Viongozi na Wanachama wetu ngazi ya Matawi, tutawaambia hali ilivyo, na watuambia la kufanya.”
Inahitaji akili ya mwendawazimu kumuamini Zitto Kabwe. Ni snitch wa kiwango cha juu sana. Chadema walifanya jambo la maana sana kumfyekelea mbali.Zitto huku bara tupe habari za Samia na Mahera full stop.
Vikao vilifanyika Pemba na Unguja kuwauliza wanachama.Zitto aache hadaa zake za kishamba,lini walikaa na wanachama wao kuwauliza kama waingie SUK au la? Hata Maalim Seif alikubali kwa shingo upande kwani zitto alikuwa ameshakubaliana na watawala na yeye ndiye mwenye chama chake. Ila siku si nyingi Wapemba watamfanya kitu mbaya.