Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
1. Nilidhani Mhe. Rais Dk. Mwinyi kakiuka katiba kumbe, No! 2. Mamlaka ya Rais katika kuteua na kutengua hayahojiwi. 3. Hiki kinachofanywa na ACT ni kujaribu kuvunja SUK, kwa sababu msingi wa hii serikali ni kuaminiana.๐๐๐
Ili ACT waingie katika serikali ya GNU kulikuwa na makubaliano waliyotiliana saini yatekelezwe . moja likiwa hili la kubadilisha hawa viongozi wa Tume . Makubaliano hayo mengi hayajatekelezwa na muda unaisha