Zitto Kabwe: Serikali ya awamu ya 5 acheni ushamba

Zitto Kabwe: Serikali ya awamu ya 5 acheni ushamba

Wewe na Zitto hamna hoja ni vibaraka wa mabeberu
Nimeamua kuwa puuuza rasmi sasa
Kunipuuza kwako hakuwezi kuubadilisha ukweli. Ukweli utabakia pale pale kuwa tunachokifanya eti kupokea ndege, siyo jambo la kawaida.

Ndege hizi kama bombadier, kule Canada ni daladala za angani. Mahali popote hata penye population ndogo, wala siyo hata miji ya kiwango cha makao makuu ya wilaya za hapa kwetu, zinatua na kuruka mara kadhaa kwa kila siku.

Hizi bombadier kule Canada tulikuwa tunaamini ni ndege ambazo kila kampuni kubwa inakuwa nayo kwaajili ya usafiri wa wafanyakazi wake, kama shughuli mnazofanya zipo maeneo remote. Na hata kampuni zilipokuwa zikinunua hatukuwa tunasikia eti kulikua na hafla ya kuzipokea.

Kama tutakuwa tunakusanyika kwa kila tunapopokea tulichonunua, tena kwa vitu vya kawaida kama bombadier, tutakusanyika mara ngapi kwa mwaka kwa matukio kama hayo?

Kuipokea ile moja ya kwanza ilitosha kuwa kiwakilishi cha zote zitakazofuata.
 
Eeenh, na ataruhusu hiyo?

Hebu ngoja tusubiri hawa madikteta wawili wanatupangia nini!

Ingependeza sana ndege yetu ingeanzisha 'route' kama hiyo, lakini sio za majirani.

Wao wana distinations 28 so far,sisi tunazo ngapi?
 
Who cares Tanzania ni Tajiri.
Kwa wale wanaojitambua tumemuelewa Zito , kweli ni ushamba kwenda kushangaa Ndege siku mzima ,Hanna KAZI za kufanya??
IMG_b1uska.jpeg
FB_IMG_15687408901769500.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhan ni sahihi ndege hizi zikaanza kuimarisha usafiri kati yamikoa na nchi jirani.
 
Faida inazalishwa kiasi gani. Hivi unajua unaweza miliki kiwanda cha misumari kinachojiendesha kwa hasara kubwa
Zito acha kamba wewe, hao Rwanda unaowatukuza hata shirika lao la ndege wanamiliki asilimia 40 au 60 tu hivi sasa. Sisi tunamiliki la kwetu 100%. BTW pengine huna taarifa wameomba kwa kupiga magoti tuwainue kidogo kwa kuruhusu waruke kutoka Mwanza - London ili wapate ujiko kidogo.

Mila zetu Tanzania sio sawa na Wanyarwanda elewa hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom