Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Sahihi kabisaMugabe asipotolewa madarakani hiyo tar 21 January 2025, wapinzani wake ndani ya chama wajipange kumfuata Zitto
Zitto unataka kuua mende kwa risasi? Siyo poa umeongea ukweli mtupu.Mbowe ameumiza watu wengi sana kwenye hizi siasa za Upinzani safari hii asiruhisiwe kabisa.
Mzee Mbowe Kamfukuza Zitto Kabwe Kisha jamaa kaanzisha chama Cha ACT Wazalendo Sasa Kinaongoza Serikali na kaamua kustaafu Mzee Mbowe yeye bado anafukuzia miaka ya MKwewe ili kustaafu (68)
View attachment 3206275
cha mama na baba yako ndio ukazaliwe wew!Watu mnakuaga wajinga mpaka mnakeraZitto bana alianzisha chama kipi
Wataalamu huwa wanamsemo "a greater dancer knows when to leave the stage" inanikumbusha miaka ya 1980 mwanzoni mwa miaka ya 1980 alikuwa bado undisputed akashauriwa astaafu record yake ikae vizuri pia kwa usalama wa afya yake akajiona bado yuko fit alipo ingia ulingoni alichakazwa mzee wa watu 🙌ujue kuna muda akili huwa inaona bado unaweza lakini mwili na umri vikakutaaKwenye yale mahojiano Mbowe aliongea kitoto sana. Stress anazopewa na wapinzani wake zinapunguza uwezo wake kiakili.
Zitto ni mswahiliiiii, huwa anachamba watu hadi na taarab huyu.Mbowe ameumiza watu wengi sana kwenye hizi siasa za Upinzani safari hii asiruhisiwe kabisa.
Mzee Mbowe Kamfukuza Zitto Kabwe Kisha jamaa kaanzisha chama Cha ACT Wazalendo Sasa Kinaongoza Serikali na kaamua kustaafu Mzee Mbowe yeye bado anafukuzia miaka ya MKwewe ili kustaafu (68)
View attachment 3206275
cha mama na baba yako ndio ukazaliwe wew!Watu mnakuaga wajinga mpaka mnakera
Act WazalendoZitto bana alianzisha chama kipi
Act Wazalendo
Mbowe anapigwa spana kila sekundeMbowe ameumiza watu wengi sana kwenye hizi siasa za Upinzani safari hii asiruhisiwe kabisa.
Mzee Mbowe Kamfukuza Zitto Kabwe Kisha jamaa kaanzisha chama Cha ACT Wazalendo Sasa Kinaongoza Serikali na kaamua kustaafu Mzee Mbowe yeye bado anafukuzia miaka ya MKwewe ili kustaafu (68)
View attachment 3206275