M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaijage kawa chairman wa NEC katika kipindi kigumu, atakuwa chairman wa kwanza kumtangaza mpizani kuwa rais.Jaji Kaijage is conscious of the legacy he will leave for himself, his offsprings and the country at large as the NEC chairman; he cannot afford to make a decision that will tear the country asunder!
Ni Membe mkuu, inasemekana uanachama wake bado haujamfanya kugombea nafasi yoyote ndani ya ACTIla Lissu sio mtu wa kawaida kabisa. hapa Lissu ndie anaetafutwa
Ni Membe mkuu, inasemekana uanachama wake bado haujamfanya kugombea nafasi yoyote ndani ya ACT
Ila Lissu sio mtu wa kawaida kabisa. hapa Lissu ndie anaetafutwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ina maana ni suala ya tarehe tu ya kumtangazaNEC mpaka sasa inajua mshindi ni nani inasubiri kumtangaza
Kwa nchi watu walivyp waoga hilo haliwezekan Mange kinambi alijaribu sn ila alikuja kugundua nchi hii waoga na sio km akili hawana no akili wanazo s3ma waoga.Ni hivi akikatwa hata mbunge au diwani mmoja tunaingua barabarani mpaka arudishwe huu ujinga hakuna watu tumechoka na upumbavu na tutaanzia kuchoma ofisi za NEC then ni kumfurusha Dicteta Ikulu.
Stupidity have got one major characteristic,to reveal he who own it in front of the mass!!.Huu pia ni uchozezi!.
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
P
absolutely.Huu pia ni uchozezi!.
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
P
ila pascal kuna muda Dish lako linayumba, kichwa kinabaki hewaHuu pia ni uchozezi!.
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
P
Wajumbe walichokufanyia hujaridhika tu sasa unatafuta njia mbadalaHuu pia ni uchozezi!.
ZZK ni mchochezi sana, mfano Benard Membe na Tundu Lissu wasipopitishwa, sijajua wamepanga kufanya nini hadi uchaguzi usiwepo?, hivi ni vitisho!. Pale raia wa kawaida anapoitisha serikali, dola na nchi, hili sio tishio dogo.
P